Chanzo cha vurugu ya gesi Mtwara ni hiki

Chanzo cha vurugu ya gesi Mtwara ni hiki

Ndugu zangu wamakonde, Wamakuwa na Wayao tujiulize maswali madogo tu hv gas ikibakia kwetu mtwara bila uwekezaji na power plant ile ya mdenga karibia na Olam ikafungwa je tutakuwa tumenufaika chochote?

Hv magari ya halmashauri muliyoyachoma moto ni magari ambayo yanatokana na kodi zetu za korosho hvo ni mali zetu wenyewe tutambue tumejirudisha nyuma mara mia...hakuna gari za wagonjwa zote zimechomwa moto haya tutapelekwa ndanda, nyangao hospital na magari toka wapi? Hz vurugu zitapita na zitaisha ni upepo tu lakini tayari tutakuwa wenyewe na shida zetu.

LEO wanaotushangilia ni hao hao walikuwa wanatudharau na kutub

Bure kabisa weye. Nyie ndio type mwanarahati Malcom X aliwaita "house niggers" ambao mna identify with the boss more than the boss identifies with himself. Ndugu wanamtwara ni "field niggers" they will gladly burn down the cotton plantations kuleta mabadiliko na haki. Viva Mtwara.
 
wanamtwara wameonesha ubaguzi,ubinafsi.na uchoyo tu hapo kila mkoa ukikatalia chake utaifa uko wapi

tatazo ni pale unapokurupuka kutoa hukumu pasipo kusikiliza madai ya mlalamikaji. Hajasema waitumie peke yao wanachotaka izalishwe Mtwara. Tunakuwa na tofauti kubwa ya kitabaka la kimaendeleo kwasabubu Serikali uwezo wao wa kufikiri ni muda mfupi tu! Madhara yake ni makubwa mno! Tafakari vizuri usilete ushabiki!
 
Ndugu zangu wamakonde, Wamakuwa na Wayao tujiulize maswali madogo tu hv gas ikibakia kwetu mtwara bila uwekezaji na power plant ile ya mdenga karibia na Olam ikafungwa je tutakuwa tumenufaika chochote?

Hv magari ya halmashauri muliyoyachoma moto ni magari ambayo yanatokana na kodi zetu za korosho hvo ni mali zetu wenyewe tutambue tumejirudisha nyuma mara mia...hakuna gari za wagonjwa zote zimechomwa moto haya tutapelekwa ndanda, nyangao hospital na magari toka wapi? Hz vurugu zitapita na zitaisha ni upepo tu lakini tayari tutakuwa wenyewe na shida zetu.

LEO wanaotushangilia ni hao hao walikuwa wanatudharau na kutub
kwani hizo korosho zimeisha? Tut*toa kodi tutanunua magari mengine. Lakini, kama wewe una njaa na anayepaswa kukupa chakula anakupa pipi badala ya ugali, hivi ubapaswa kuvumlia eti kwa sababu ukionyesha hisia zako utaikosa hiyo pipi ambayo kimnsingi wala haiponyi njaa yako!
 
wanamtwara wameonesha ubaguzi,ubinafsi.na uchoyo tu hapo kila mkoa ukikatalia chake utaifa uko wapi

Wanamtwara hawadai gesi ibaki yao tu. Wanahitaji kuthibitishiwa jinsi watakavyofaidika baada ya gesi hiyo kusafirishwa kwa bomba kwenda DSM. Wana haki ya kudai hivyo kwani viwanda vya kusafishia gesi hiyo vikijengwa Mtwara na kusafirisha gesi iliyosafishwa kuna ubya gani? Wa Mtwara wana uzoefu na Ges ya songosongo Lindi. Wana Lindi wanafaidika vipi na gesi ya Songosongo? Watu wa Kahama wanafaidika vipi na dhahabu yao inayosafirishwa na ndege kila kuchwao na kutokomea wasikojua na kuwaacha 'nusu kaputi'!! Hapo hakuna suala la ubaguzi, ubinafsi na uchoyo bali wanadai haki yao. Usitoe majibu mepesi kwa maswali magumu. Bravo Wanamtwara. Kaza uzi.
 
kwa nini isitolewe hiyo sera ya gesi kwa KISWAHILI ili hawa watu wajue kinachoendelea?
 
wanamtwara wameonesha ubaguzi,ubinafsi.na uchoyo tu hapo kila mkoa ukikatalia chake utaifa uko wapi

mr.muongo habare................tehtehteh...gesi haitoki na mkipitisha bomba mtakutana na maji dar........
 
wanamtwara wameonesha ubaguzi,ubinafsi.na uchoyo tu hapo kila mkoa ukikatalia chake utaifa uko wapi

kila kitu kina mwenyewe....ikiwa ni cha kwetu kitakufa bila taarifa ona atcl au railway

 
Back
Top Bottom