Serikali kwa kupitia kwa Muhongo na wasomi wajuaji waliojazana kule kwenye nchi yao ya Mgogoni/Kivukoni waliamua kuandika sera ya gesi lakini la kushangaza ile sera iliandikwa kwa Kiingereza kigumu kwa maslahi ya watu wa nje ya nchi na ruling elites.
In short hakuna sera ya gesi iliyoandikwa kwa lugha ya taifa la Tanzania
Nii pia ni pamoja na miswada na sheria mbali mbali ambazo zimeandikwa na civil servants wetu ambao hawaoni umuhimu wa kuiandika kwa kiswahili lugha ambayo inazungumzwa na waTanzania wote.
Hii ni deliberate attempt by the ruling elites/class to make all Tanzanians look stupid and ignorant.
In short hakuna sera ya gesi iliyoandikwa kwa lugha ya taifa la Tanzania
Nii pia ni pamoja na miswada na sheria mbali mbali ambazo zimeandikwa na civil servants wetu ambao hawaoni umuhimu wa kuiandika kwa kiswahili lugha ambayo inazungumzwa na waTanzania wote.
Hii ni deliberate attempt by the ruling elites/class to make all Tanzanians look stupid and ignorant.