Chanzo cha ukahaba na uzinzi


kwani mwanaume akinisumbua lazima nimkubali, nakavaa kwa raha zangu, na si kusudi langu kumtega mtu yoyote, anaetegeka imekula kwake
 
nijisikia raha zaidi nikivaa hivyo, hewa ya kumwaga kifuani

na hii globalwarming nadhani itafikia kipindi mtakuwa mnaziba Chvchv tu, anyway mbona mada ianenda bila picha hakuna wa kutuonyesha mfano wa hiyo 75%
 
Kiukweli ni kwamba kwa wanaoamini biblia na najua kilaanaye vaa hivyo ni mwana dini na dini yake haimruhusu kuvaa hivyo.je wanaovaa hivyo wanapingana na mungu.?hayo mavazi ukivaa kwa mme wako ndani ni sawa lakini ukivaa nje inamana gani kiukweli ni tamaa zina wafanya waache vile mpaka watoto wanaona mama akivaa vile je wanajifunza nini?.na kwa wanaodai ni joto je na watu wanaokaa maeneo ya baridi mikoani?.ukweli mwingine ni kwamba utabisha lakini kwakuwa watu wamepigwa chapa ya antikrist na wamekamatwa kuacha hawawezi na itawatesa sana na tamaa huwezi kubisha tena kwa kinamama kwenye ndoa wanazini kinachochangia ni mavazi pia utakuta mtoto anavaa hivyo mpaka ndugu kwa ndugu wanatamaniana kutokana na uchochezi huo je mungu alivyokataza alikosea?.majibu ni kwa wale wanaojielewa naona wengine hawana sababu za msingi wanaomjua mungu wanijibu maama ndo wanaoathiriwa.
 

Ah! Uko sawa lakini, hayo maneno umeyatowa wapi? Usikurupuke soma vizuri mada halafu changia vile mada inavyokwenda hapakuwa na sababu ya kuwatukana waislam
 
na hii globalwarming nadhani itafikia kipindi mtakuwa mnaziba Chvchv tu, anyway mbona mada ianenda bila picha hakuna wa kutuonyesha mfano wa hiyo 75%

ni PM nikutumie picha yangu
 

jamani hivi mbona nyie mnavaa zile sijui singlend sijui vest nimesahau jina sahihi mbona hatuwatamani, tunaona ni vazi kama mavazi mengine
acheni tamaa bana, mie najisikia poa zaidi nikivaa hivyo
Halafu tunavaa nguo ili kufurahisha jamii au tunavaa kujiridhisha wenyewe
 

Nani kakuambia maziwa ni uchi,
 
Inawezekana wanawake wa Kikristo hawajafundishwa maadili mazuri. Sisi wenzenu, wanawake wa kiislamu huwa hawavai nguo fupi misikitini. Labda hampo serious kusimamia sheria za imani yenu.
Mpendwa,
Bold ya mwanzo: Hakuna dini ( hasa za kikristo) zisizofundisha maadili mema.Kuvaa mavazi yasiyo na heshima kanisani ni matokeo ya watu kutumia vibaya utashi wao .Wakristo hawalazimishi mtu kwa adhabu za viboko au nyinginezo bali kwa mafundisho yenye kukuonyesha mema na mabaya na kukuacha utumie utashi kuchagua.Wapo ambao hujiamulia waakavyo kufuatana na utashi wao unavyowatuma.Hii haimaniishai kuwa kanisa limebariki.
Bold ya pili: Yapo makanisa ambapo ukivaa mavazi yasiyo ya heshima huruhusiwi kuingia kanisani.
 

Hao ni mashetani. Washindwe na walegeeeeeeee
 
Baba Enock hongera kwa kuleta topic hii. Kweli mmomonyoko wa maadili unachangiwa na wanawake wenyewe wakiwasaidia mabinti zao. Kuacha matiti nje ni utamaduni usio wetu waafrika. Wachungaji makanisani mkemee kwa nguvu zote kwani liko madhabahuni penu.
Kwa suala hili nawaunga mkono kabisa wenzetu wa dini ya kiislamu kwa kuheshimu mwili ingawaje wakati mwingine inapita kiasi.
Kuvaa nguo fupi au inayobana sana hadi kuonyesha viungo vyote kanisani ni tendo la kuasi.
Vivyo hivyo kuonyesha matiti inaamsha hisia zilizo tofauti kimwili pamoja na kuwa ni fasheni.
Nalichukulia hili kwangu binafsi kuwa kama ukosefu wa hekima kujionyesha utupu wako sehemu za ibada, na hatimaye kuwaharibia siku hata wale wanaoenda sehemu hizo kwa kujisalimisha kwa Bwana wao.
 
uzinzi na ukahaba tu, hapa wakija alshabab na MS nitawaunga mkono kwa hili piga mawe hadi kifo.
 
na hii globalwarming nadhani itafikia kipindi mtakuwa mnaziba Chvchv tu, anyway mbona mada ianenda bila picha hakuna wa kutuonyesha mfano wa hiyo 75%
lol
 
Dini ikichanganyikana na haki za binadamu za kimagharibi kinachotokea ni uchafu wa namna hii.
Ushoga kuruhusiwa makanisani na nusu uchi kuwa poa tu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…