Chanzo cha Uhai

Mfano wangu wa maji,umekomea kwenye maji tu,wala hukutakiwa kuleta mambo ya "audio" sababu unakosea zaidi.

Mfano wangu umejikita katika maneno yenye kujitosheleza na endapo ukiongeza maneno kwenye maneno yenye kujitosheleza utaonekana kituko.

Natilia mkazo tu,achilia mbali utofauti wa udongo ule na huu uliopo,lakini hakuna udongo usio toa sauti. Kuna wakati ukifikiria unatakiwa ufikirie hasa,ukikurupuka kama ufanyavyo wewe lazima ukosee.

Kuna maneno ya kutilia mkazo na kutofautisha mmoja kwa mwengine. Mfano nikisema "Walikuja vijana sita na Zurri akiwemo". Hapa haimaanishi kama Zurri sio mtu,bali katika lugha ni katika kuimakinisha taarifa,kuitofautish na kuiweka sawa taarifa.

Nipo ....
 
Hata aya iliyosema udongo wenye sauti, ilikomea hapo hapo hukutakiwa kuongeza yako ya kusema udongo ukipigwa pigwa ndio unatoa sauti sababu unakosea zaidi

Sent using unknown device
 
Hata aya iliyosema udongo wenye sauti, ilikomea hapo hapo hukutakiwa kuongeza yako ya kusema udongo ukipigwa pigwa ndio unatoa sauti sababu unakosea zaidi

Sent using unknown device

Kuna la ziada la kuniambia ?

Tujikite kwenye mada ya mdau sasa. Mimi kazi yangu kwako imeisha.

Nipo ...
 

Unajua katika jambo huwa linanishangaza kwa hawa wanasayansi ni hili,kama wao wamekuta dunia ipo tayari na viumbe vipo,hivi walishindwa hata kuwauliza au kutafuta taarifa zozote za kale zinazoelezea uumbaji ?

Sasa kama hivyo ndivyo,wao wanasayansi wanaujuaje ukweli ? Ina maana wanaujua ukweli kwa nadharia bunifu kisha majaribio kisha hitimisho au ? Kama hii ndio misingi yao ya kuupata ukweli ni upi ukamilifu wa misingi yao ?
 

Ulimwengu wa matrix ukoje ? Kama ukitoa na mifano utakuwa umefanya jambo jema sana.
 
Kuna la ziada la kuniambia ?

Tujikite kwenye mada ya mdau sasa. Mimi kazi yangu kwako imeisha.

Nipo ...
Kazi gani? Yakupindisha kuraan?

Kuraan imesema udongo wenye kutoa sauti we unasema ukiogonga gonga, kwaiyo unaisahihisha ilipokosea?

Sent using unknown device
 

Hapa bila shaka unawazungumzia Aliens sio ?

Unaweza kutuambia hao jamaa chanzo chao ni nini ? Au hawana chanzo ?

Nipo ....
 
Ningeulizwa kwenye mtihani hili swali la chanzo cha uhai ni nini ningejibu simpo tuu "pumzi"...
 
ATHARI YA KUJIFUNZA SAYANSI KABLA YA IMANI; TUSUBIRI WAKATI WA MAUTI YANATUKUTA TUTAELEWA ZAIDI CHANZO CHA UHAI WETU
 

UNA KIRANGA WEWE
 
Ngoja tunufaike kidogo ktk hili darasa.yule aliyetupa huo UHAI anasema
1. AMETUKUKA ambaye mkononi mwake umo Ufalme wote; na Yeye ni Mwenye uweza juu ya kila kitu.


2. Ambaye ameumba mauti na uhai ili kukujaribuni ni nani miongoni mwenu mwenye vitendo vizuri zaidi. Na Yeye ni Mwenye nguvu na Mwenye msamaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na icho kitu ni lazime kiwe kimeumbwa na mwenye akiri zaidi ambae amekitengeneza
Sent using unknown device
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…