Chanzo cha Uhai

Kama katka maisha haya tu tumemtumaini Kristo, sisi tu maskini kuliko watu wote,

Lakini sasa Kristo amefufuka katka wafu, limbuko lao WALIOLALA.

Maana kwa kuwa MAUTI Ililetwa na mtu , kadhalika na kiyama ya wafu ililetwa na MTU..

Kwa kuwa kama katka ADAMU Wote wanakufa, kadhalika na katka Kristo wote WATAHUISHWA.

Lakin kila mmoja mahali pake; limbuko Ni Kristo; baadaye walio wake Kristo, atakapokuja.

Hapo ndipo mwisho, atakapompa Mungu Baba ufalme wake; atakapobatilisha utawala wote, na mamlaka yote, na nguvu.

Maana sharti amiliki yeye, hata awaweke maadui wake wote chini yamiguu yake.

ADUI WA MWISHO ATAKAYEBATILISHWA NI MAUTI.
1Kornt 15:19-26;

Nb: Zingatia palipo na herufi kubwa

Sent from my VFD 200 using JamiiForums mobile app
 
Ushuzi huu peleka kanisani, nipe jibu la swali langu

Sent using unknown device
 
Kuwatukana wanasayansi ni kujitukana mwenyewe.

Kumbuka kwamba kila mwanadamu ni mwanasayansi
 

Kwani kati ya kifo na uhai kipi kilianza au kipi huanza ?
 

Ukiambiwa udongo unatoa sauti,kwa akili yako ndogo unafikiri unaongea nini ? Akili mmepewa bure,kwanini hamuitumii vyema na mkafikiri kwa usahihi.

Udongo ukipigwa pigwa au kupondwa pondwa hautoi sauti ?

Huwa nasema hivi,mwanadamu kutokujua mipaka yako ni ujinga wa kujitakia. Na mpaka mwisho wa dunia hakuna hakuna mwanasayansi atakae weza kuelezea uhai akapatia.
 
Hivi huoni unaisahihisha quraan kwamba imeongopa?? Mimi nimeweka kama ilivyoandikwa kwenye kuraan sijaongeza wala kupunguza nashangaa unavyobwata

Sasa udongo ukipondwa ukitoa sauti, utasema udongo unasauti?

Udongo gani ambao ukiupiga piga hautatoa sauti? Kama hakuna kulikua na maana gani kusema udongo wenye sauti wakati ikijulikana kua kila kitachopigwa kinatoa sauti?

Kuraan imetumia neno sauti ili kutofautisha na udongo ambao hauna sauti, halafu wewe unakana

Huoni kwamba unaipinga quraan mwenyewe kwa kutaka kubadili maneno yaliyomo ndani ukidai kua sivyo ilivyo kusudia?





Sent using unknown device
 

Nakukumbusha kitu kimoja,hii tusiifanye huku ikwa mada,sababu kule kwenye mada husika mimi hili tulilimaliza.

Nakujibu hili,ili kuweka muhuri juu ya hili. Nakupa mfano huu. Sasa wapi nimekana ? Wapi nimesema kama udongo hautoi sauti ?
Tuliza akili uwe unasoma unaelewa sio unakurukupuka,pale nimekupa ufafanuzi tena kwa mfano ili uzingatie.

"Naenda kuoga" hivi kuna haja ya mimi kusema "Naenda kuoga maji ?"

Siwezi kuipinga Qur'aan na sina uwezo huo. Kama ulikosea kuilewa aya ile na ukashindwa kurejea kule ulikoitoa vipi utaepukana na makosa katika hili ?

Nipo ...
 
Ukisema unaenda kuoga inafahamika kua ni maji, lakini ukisema unaenda kuoga audio yenye yenye kutoa sauti ya maji unakua umeacha shaka

Ukiniambia kua kwani maji unavyoyaoga hayatoi sauti au mlio nikakuambia ndiyo yanatoa sauti, halafu wewe useme sasa kua umetumia audio yenye kelele za maji kuogea hivyo uko sawa na yule atakayetumia maji kuoga, kwasababu akioga yatatoa sauti kama yako iliyo kwenye redio yako

Hapo ukisema udongo wenye sauti hauna tofauti na huu mfinyanzi nao ujua mimi, huna tofauti na kuoga audio yenye kelele za maji


Sent using unknown device
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…