Kama ulijua mungu hanihusu ulianzeje kunihusisha naye kwa kunitaka ni jibu swali lisilo ni husu??Wewe humjui Mungu, ndio maana huwez kulijibu hilo swali، sijataka uendelee kuhoji kuhusu Mungu ambaye hakuhusu, nazungumza kuhusu sayansi inayotuhusu na mnayojidai kuwa inatatua matatzo ya kiumbe na kuyachunguza? Kwann tunakufa?
Sisi tumeahidiwa maisha mengine baada ya kufa yatakuepo na huyo Mungu ambaye humtak
Sent using Jamii Forums mobile app
Yesu KristoMkuu kwani wewe unaamini katika mungu yupi kati ya jehova, alah au shetani
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ulijua mungu hanihusu ulianzeje kunihusisha naye kwa kunitaka ni jibu swali lisilo ni husu??
Swali la kusema kwanini tunakufa unataka nikujibu mala ngapi?
Sent using unknown device
Yesu kristo hayupo, au tuseme mmechanganyiwa mambo aliyekuwepo ni Yashua ili kupitia yeye binadamu wavivu wasioweza kutafuta na kujua ukweli wafunguke na kusearch network
Wanajilisha upepo kivipi? Na kwanini wajilishe upepo?Yote wanayoyafnya chini ya jua wanajilisha upepo tu/ nidalili tosha kuwa hawana akili japo wao hujiona wanazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana mm cjaambulia kituuzi mgumu sana,kuuelewa inabidi uandae panadol za kutosha pembeni
Umeandka wewe au autocorrect??Yesu kristo hayupo, au tuseme mmechanganyiwa mambo aliyekuwepo ni Yashua ili kupitia yeye binadamu wavivu wasioweza kutafuta na kujua ukweli wafunguke na kusearch network
Hivyo unatakiwa ujitume uactivate you spirit uunganike na huyo Yashua a.k.a Yesu uweze kuongozwa na roho mtakatifu kama mnavyoita au cosmic power kisayansi
Dini umetengenezewa na Marduk au Enki a.k.a Shetani ili uweze kuongozwa na kutawaliwa
Usiamini maneno yangu fanya utafiti wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka ukawapime ili ugundue kuwa hawana au wanayo? Kachukue vifaa walivyotengeneza wao uwapime, kwa upande Wang hawana akili na kauli yangu haiwezi kusimama kama principalWanajilisha upepo kivipi? Na kwanini wajilishe upepo?
Halafu ujaniambia kifaa ulichotumia kuwapima mpaka ukagundua wanajilisha upepo?
Sent using unknown device
Sasa utatumiaje vipimo vya wasio na akili kupima akili, hivi unaakili kweli?Unataka ukawapime ili ugundue kuwa hawana au wanayo? Kachukue vifaa walivyotengeneza wao uwapime, kwa upande Wang hawana akili na kauli yangu haiwezi kusimama kama principal
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawew kumbe unajua kuwa hawana akili? Your a righteous man,Sasa utatumiaje vipimo vya wasio na akili kupima akili, hivi unaakili kweli?
Sent using unknown device
Usilete shobo leta jibu la swali, nikiwaambia watu kua wewe ni kichaa ambae huna utimamu wa akili, alafu nikawaambia hao watu kua naenda kuomba ushauri kwa yule kichaa niliyekuwa nawasimulieni, unafikiri hao watu watanichukuliaje?Nawew kumbe unajua kuwa hawana akili? Your a righteous man,
Achana nao hao hawana akili kabisa pmj na mbwembwe zao zoooote wameshindwa kukitoa kifo ili watu tufurahie Range Rover's zetu, wapumbavu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kujua kuwa ng'ombe hula nyasi nako kunahtaji vipimo?Usilete shobo leta jibu la swali, nikiwaambia watu kua wewe ni kichaa ambae huna utimamu wa akili, alafu nikawaambia hao watu kua naenda kuomba ushauri kwa yule kichaa niliyekuwa nawasimulieni, unafikiri hao watu watanichukuliaje?
Hawata angalia upande wapili kua nilichokua nawaadithia kama ni sahihi, ila watajua mimi ndie kichaa na sio wewe, kwasababu huwezi ukaomba ushauri kwa chizi
Sasa wewe hapo unadhihirisha kua huna akili, unaanzaje kutumia vipimo vya watu ambao umedai kua hawana akili kupimia akili zao? Umejuaje kua vipimo hivyo ni sahihi wakati sliyetengeneza umedai hana akili?
Sent using unknown device
Basi kwa taalumu uliyotumia hata wewe ni mwehu,Kujua kuwa ng'ombe hula nyasi nako kunahtaji vipimo?
Uwezo Wangu wa Asili unatosha Kujua Wanasayansi Ni Wajinga sana,
Na ujinga wao utaisha pindi watakapo zuia watu kufa, ....ila yote wanayoyafnya Leo wajue kuwa wanajilisha upepo, kama nawew upo miongoni mwao unajilisha upepo,
.
Ulimwengu wenye nidhamu na utashi wa mazingira haujaja bahati mbaya, waambie hao wapumbavu ivo.
Sent from my VFD 200 using JamiiForums mobile app