Channel ten,C2C na DTV

KIBURUDISHO

JF-Expert Member
Mar 28, 2011
1,002
274
WanaJF mambo vp? Shwarii? Jamani mbona hizi chanel C2C na DTV zenyewe hazirushwi kwa njia ya satellite kama zilivyo zile za IPP MEDIA
 
Nadhani ni gharama mkuu. Wao wameamua kurusha Channel ten kwenye satellite zingine wakaziacha. Kwa mara ya mwisho nilikuwa najua kwamba CTN, C2C, Channel Ten, DTV na Radio Magic zinamilikiwa na mmiliki mmoja yaani Africa Media Group
 
Back
Top Bottom