Channel Ten badilikeni mnaboa

Channel Ten badilikeni mnaboa

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,992
Reaction score
12,036
Yaani nyie picha zenu ni mbovu kweli mnaweza kuwa na content nzuri lakini picha zimefubaa kweli tena ni vipindi karibia vingi, jamani mna vipindi baadhi vizuri ila ubora wa picha hakuna kabisa, mathalani Habari picha hazifurahishi kabisa.BADILIKENI
 
Channel ya mda mrefu imekosa wabunifu kabisa, miaka ya hivi karibuni vimeibuka vichannel vingi na vimeipita ubora channel ten.
Wamiliki hawalioni hili?
 
haaaaa umenichekesha sana...
mie ile rangi yao huwa inanikata stim kutizama chanell 10
hahaha tatizo wao ndo wanaanza kuonyesha habari so mtu unataka kuwa wa kwanza kuziona habari zenyewe ndo unakutana na kamera za simu ya tecno zimechukua picha
 
...ungejaribu kufuta tv yako kwanza,laaaaabda itakuwa ina vumbi....



....ila kweli wale jamaa wanaboa
 
Alaf siku hizi wamekuwa waoga kweli kweli,kitambo kila asubuhi kulikuwa na mada moto moto mpaka hutaki kwenda job,hivi sasa ni mialiko ya watu wa ajabu ajabu tuu
 
Back
Top Bottom