lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,607
- 2,062
Mhuuuuu unaokota tu chanjo......Vifaranga vyangu vya kuku wa kienyeji, walipofikisha umri wa takribani wiki 2 hivi niliamua kuwapa chanjo hii.
Baada ya muda vifaranga viliendelea vzr lkn sasa vimepata madhara kwenye jicho KUVIMBA, sasa sijui ni kutokana na chanjo hii au la !! Naomba wataalamu wanisaidie .
Mafua makali.Tumia tylodox tylofarmVifaranga vyangu vya kuku wa kienyeji, walipofikisha umri wa takribani wiki 2 hivi niliamua kuwapa chanjo hii.
Baada ya muda vifaranga viliendelea vzr lkn sasa vimepata madhara kwenye jicho KUVIMBA, sasa sijui ni kutokana na chanjo hii au la !! Naomba wataalamu wanisaidie .
Ulitakiwa kuwapa Newcastle baa da ya wiki moja na gumboro baada ya wiki 2Vifaranga vyangu vya kuku wa kienyeji, walipofikisha umri wa takribani wiki 2 hivi niliamua kuwapa chanjo hii.
Baada ya muda vifaranga viliendelea vzr lkn sasa vimepata madhara kwenye jicho KUVIMBA, sasa sijui ni kutokana na chanjo hii au la !! Naomba wataalamu wanisaidie .
Ni kweli huwa nafanya hivyo sasa nilipoiona hii chanjo ya 3- 1 nikataka urahisi maana katka hii chanjo kwa maelezo yao kama niko sahihi ! Ukiwapa inabaki chanjo ya Gumboro peke yake na utarudia baada ya miezi 3Ulitakiwa kuwapa Newcastle baa da ya wiki moja na gumboro baada ya wiki 2
Hapana ziko kwenye maduka ya dawa na zinauzwa zimemeandaliwa na wasomi hapo Morogoro.Mhuuuuu unaokota tu chanjo......
Zinafanya kazi ila ni kwa kiwango kidogo kulingana na utunzwaji wake toka imetengenezwa. Nilikua natumia zamani,Ni kweli huwa nafanya hivyo sasa nilipoiona hii chanjo ya 3- 1 nikataka urahisi maana katka hii chanjo kwa maelezo yao kama niko sahihi ! Ukiwapa inabaki chanjo ya Gumboro peke yake na utarudia baada ya miezi 3
Siku zote rahisi ni ghaliNi kweli huwa nafanya hivyo sasa nilipoiona hii chanjo ya 3- 1 nikataka urahisi maana katka hii chanjo kwa maelezo yao kama niko sahihi ! Ukiwapa inabaki chanjo ya Gumboro peke yake na utarudia baada ya miezi 3
Hakika nimegharamika na nawaonea huruma sana vifaranga vyangu vimeumia haswaa.Siku zote rahisi ni ghali
kama kawaida cheap is expensiveZinafanya kazi ila ni kwa kiwango kidogo kulingana na utunzwaji wake toka imetengenezwa. Nilikua natumia zamani,
Ila matokeo hayakuwa ya kutabirika mana kuna muda ilikua inadunda na wakati mwingine inafanya kazi.
Vifaranga vyangu vya kuku wa kienyeji, walipofikisha umri wa takribani wiki 2 hivi niliamua kuwapa chanjo hii.
Baada ya muda vifaranga viliendelea vzr lkn sasa vimepata madhara kwenye jicho KUVIMBA, sasa sijui ni kutokana na chanjo hii au la !! Naomba wataalamu wanisaidie .
Kinga ikifeli Unatakiwa kuanza Tiba.Nimekumbwa na tatizo mfano wa hili.
Kuku, kanga, batamzinga wameathirika baada ya chanjo.
Newcastle(mdondo), Fowl pox (ndui), na Infectious coryza (mafua yanayo ambukiza).Hivi tatu moja yenyewe inakinga homa gani?
Kwahiyo tatu moja hamna kituNewcastle(mdondo), Fowl pox (ndui), na Infectious coryza (mafua yanayo ambukiza).
Hasara bongo kuitengeneza chanjo...bado..labda ya mitishambaNimekumbwa na tatizo mfano wa hili.
Kuku, kanga, batamzinga wameathirika baada ya chanjo.
Mimi nimetumia Mara kadhaa haikufanya vizuri huenda tatizo siyo ubora toka kiwandani. Inawezekana nilikosea kitu au ilikuwa imeshaharibika.Kwahiyo tatu moja hamna kitu