Hakuna vaccine isiyo kuwa na risks lakini kabla hujachomwa sindano wana hakikisha hakuna dawa unayotumia inayoweza kuingiliana na chanjo, uliugua COVID ndani ya wiki mbili, u mzima wa afya.
Baada ya kupata chanjo unasubiri dakika 15 ndani ya clinic yenye wataalamu kama mfamasia, daktari na nesi.
Mchakato wa kujiridhisha kama chanjo au dawa mpya ni salama na inatibu(safe and effective) huchukua miaka kuanzia 15 hivyo hizi chanjo za kuandaliwa ndani ya miezi mitatu lolote linaweza kuwapata wadungwaji
Mchakato wa kujiridhisha kama chanjo au dawa mpya ni salama na inatibu(safe and effective) huchukua miaka kuanzia 15 hivyo hizi chanjo za kuandaliwa ndani ya miezi mitatu lolote linaweza kuwapata wadungwaji
Yaani wataalamu wa huko kwa Mbeberu wamekaa maabara kwa ajili ya kutengeneza chanjo halafu nzirankende aje kubwabwaja tu.....Yeye utafiti wake wa maganda ya korosho umesaidia nini?
Mi nadhani nyie mlio hamu na hiyo chanjo vukeni ng'ambo mkachanjwe. Mmekubali kuongozwa na Mheshimiwa Magufuli ana vyombo vya kumpa taarifa Mimi na nyinyi hatuna hiyo alafu unakomaa kupinga .
Usikomae kupinga tu eti kwa sababu fulan kasema angalia kasema nn . Mimi binafsi siungi kabisa habar ya hii chanjo hata kbla ya anko Magu kusema aloyasema.
Hakuna vaccine isiyo kuwa na risks lakini kabla hujachomwa sindano wana hakikisha hakuna dawa unayotumia inayoweza kuingiliana na chanjo, uliugua COVID ndani ya wiki mbili, u mzima wa afya.
Baada ya kupata chanjo unasubiri dakika 15 ndani ya clinic yenye wataalamu kama mfamasia, daktari na nesi.