Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,771
- 59,119
Jamani naomba kuuliza ikiwa kuna dawa ya kumsaidia mtoto wa mwezi mmoja kuondokana na maumivu makali ya tumbo (nadhani ndio waswahili wanaita chango).
Hosp wanasema ni gas sababu ya kunyonya vidole ila mtoto mwenyewe hata simwonagi akinyonya vidole maana hata kuviweka mdomoni hajaweza bado.
Hosp wanasema ni gas sababu ya kunyonya vidole ila mtoto mwenyewe hata simwonagi akinyonya vidole maana hata kuviweka mdomoni hajaweza bado.