kula kwa tindo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,330
- 324
Ikiwa kwa Miaka mingi, Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, inategemea makusanyo ya Ushuru wa kodi za Sigara na Vinywaji (hasa Pombe) Katika kuendesha Shughuli zake (Kama tulivyoshuhudia ktk Bajeti zote)
Je! Endapo Watumiaji wa Sigara na Pombe wakikacha na KUOKOKA..
ITAKUAJE KWENYE BAJETI HIZI?
Serikali inatuaminisha kua WAVUTA SIGARA na WANYWAJI POMBE ndio wanaoliwezesha Ukuaji wa pato laTaifa hili ?
Je! Endapo Watumiaji wa Sigara na Pombe wakikacha na KUOKOKA..
ITAKUAJE KWENYE BAJETI HIZI?
Serikali inatuaminisha kua WAVUTA SIGARA na WANYWAJI POMBE ndio wanaoliwezesha Ukuaji wa pato laTaifa hili ?