Ebwana Shalom nashukuru sana kwa kunijulisha maana nilikuwa natafuta sana namba ya kuchangia chadema kwa muda mrefu. Mbona hamtangazi kwenye vyombo vingine vya habari kama TV na Redio kama wanavyofanya CCM? Watu kibao wanahamasa ya kuchangia ila hawaijui hiyo namba na hawajahamasishwa....