Elections 2010 Changia Maendeleo ya Tanzania - Changia Chadema

Nimetuma mara nyingi, inakata hela ila no any reply, plzz nadhani ni vizuri mngeweka ka msg angalau kumpa moyo mtumaji. Vilevile ingekua vizuri kutuma msg kwa kila m2miaji wa sim kumtaarifu njia hii ya uchangiaji, mtapata wachangiaji wengi hata zaidi

Peoplezzzzzz powerrrrrrrrrr
 
Changia chadema
account no 2266600140, jina la account ni chadema, bank ni nmb, tumia tawi lolote, hata kama uko nje ya nchi, nenda kwenye tawi lolote la rabobank ,

au tumia namba ya simu 15710, tuma neno chadema,

asante, mchango wako ni muhimu sana.

People power


Tunashukuru kwa kuweka number live, lakini kama kuna uwezekano anayehusika aweke matangazo radioni na kwenye TV ya mara kwa mara kama ya mzee fataki vile!!!, Hii itasaidia wengi wanaopenda mabadiliko na wanajisikia kuichangia CHADEMA wafanye hivyo ki uraisi kabisa. Najua wengi hawajui hii kitu kabisa!!
 
Tunashukuru kwa kuweka number live, lakini kama kuna uwezekano anayehusika aweke matangazo radioni na kwenye TV ya mara kwa mara kama ya mzee fataki vile!!!, Hii itasaidia wengi wanaopenda mabadiliko na wanajisikia kuichangia CHADEMA wafanye hivyo ki uraisi kabisa. Najua wengi hawajui hii kitu kabisa!!

Kweli mkuu, wekeni kwenye matangazo ya redio hata kwa wiki moja, naamini wengi tu watachangia, ila hawaja pata namba sahihi.
 
Nimetuma mchango wangu, pesa imekatwa na ujumbe niliotumiwa unaanza na id:758551612. Naona kama hiyo id ni namba ya Vodacom wakati mimi nimechangia kwa namba ya zain. Hakuna tatizo hapo?
 
Haiwezekani tuwe tuanataka Tanzania ibadilishe chama tawala kwa mara ya kwanza mwaka huu kisha tuwe wagumu kuchangia CHADEMA. Tulioko mbali lazima tuwaombe ndugu walio Tanzania watusaidie kuchangia. Mimi leo nitatuma ujumbe kwa ndugu yangu anisaidie kufikisha laki moja kwenye kampeni ya CHADEMA, ASAP.

Freedom costs. There are no free lunches. Hatuwezi tukategemea Dr Slaa ajitoe kufa na kupona na sisi tukaketi tu. Lazima tuchangie.

Tafadhali tangazeni kwa bidii zaidi namna ya kuchangia. Wekeni elfu moja kwa kila SMS. Watachanga wengi kuliko mnavyodhani.
 
Mapato na matumizi ya CHADEMA yatachunguzwa kwenye vikao husika vya CHADEMA. Si vema kutaka wamwage mtama hapa kwenye kuku wengi.
 
He, kabajeti kiduchu hivyo!.......mbona ccm wana budget ya 52bilion wakati wametekeleza ilani yao kwa zaidi ya 90%? Hizo pesa zote za nini?.........
Any way mi nilishafanya hivyo nilipoona kwenye gazeti la tanzania daima
hili si jipya jamani ila nimeona tukumbushane kidogo kuwa nguvu zetu zinahitajika hata kama ni kidogo kidogo kuweza .

Naona siku za karibuni malaria na mwenzie wako busy sana na vyama vyao vya kijamaa!



makadirio ya bajeti ya uchaguzi mkuu 2010
chadema inakadiria kwamba kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 itatumia kiasi kisichozidi bilioni tano; kiwango ambacho kitahusisha kampeni zote za chama kwa ujumla wake kuanzia kwenye udiwani, ubunge na urais kwa matumizi yote ya uteuzi ndani ya chama pamoja na kampeni zenyewe.
hata hivyo, chama hakina kiasi hicho cha fedha na mikakati inaendelea kuandaliwa na kutekelezwa kwa ajili ya kukusanya fedha kwa wanachama na wapenzi.
 
wewe changia tu; maneno kibao hata sent hujachangia

Ni kina nani hao unaowaambia hawajachangia? Tupeane moyo, na sio kukebehiana.

Ni muhimu CHADEMA wakaweka matangazo yao ya namna ya kuchangia kwenye redio, TV na magazeti mengi. Uma wa Watanzania uko nyuma yao; watapata wachangiaji kibao. Kwa sasa, ni wachache sana wanajua wachangieje.
 
Tukiwa tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu Tanzania ambao utafanyika October 31, 2010, Watanzania wazalendo wanachama na wapenzi wa Chadema mnaombwa kuchangia kwa dhati harakati za Chadema ili tuweze kuwafikia Wananchi wengi zaidi katika kila kona ya Tanzania tukitafuta ridhaa yenu ya kuweza kujenga nchi yetu; nchi yenye usawa, uzalendo, maadili na uwajibikaji katika miaka mitano ijayo.

Video Link:
http://www.youtube.com/watch?v=TvLRsAsgyWc

CHANGIA CHADEMA KUPITIA BANK:
CRDB BANK
CHADEMA - M4C
Account Number: 0J1080100600

National Microfinance Bank [NMB]
CHADEMA
Account Number: 2266600140

Unaweza kuweka pesa kupitia tawi lolote la Benki hizi Tanzania.


CHANGIA CHADEMA KUPITIA SMS (MESEJI):
Tuma neno:

"CHADEMA"
kwenda namba 15710
"NAJIUNGA" kwenda namba 15710
"SLAA" kwenda namba 15710

Unaweza kutuma meseji mara nyingi kadri unavyoweza na kila ujumbe utagharimu TZS 350/= tu.
HII NI KWA MITANDAO YA ZAIN, TIGO NA VODACOM TU.


CHANGIA KUPITIA M-PESA:
Kwa watakaotaka kuchangia kwa M-Pesa wanaweza kutumia namba zifuatazo:

0758 223 344
0764 776 673



CHANGIA KUPITIA ZAP:
Kwa watakaotaka kuchangia kwa ZAP wanaweza kutumia namba hii:

0789 555 333

"Ndugu Zangu Watanzania, tunawaomba kwa dhati kabisa tushikamane, tushirikiane bila kujali itikadi zetu kuchangia harakati hizi, tunawashukuru sana. - Dr. Wilbroad Peter Slaa"

CHAGUA MABADILIKO YA KWELI. CHAGUA CHADEMA.
 
Tukiwa tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu Tanzania ambao utafanyika October 31, 2010, Watanzania wazalendo wanachama na wapenzi wa Chadema mnaombwa kuchangia kwa dhati harakati za Chadema ili tuweze kuwafikia Wananchi wengi zaidi katika kila kona ya Tanzania tukitafuta ridhaa yenu ya kuweza kujenga nchi yetu; nchi yenye usawa, uzalendo, maadili na uwajibikaji katika miaka mitano ijayo.

CHANGIA CHADEMA KUPITIA BANK:
CRDB BANK
CHADEMA - M4C
Account Number: 0J1080100600

National Microfinance Bank [NMB]
CHADEMA
Account Number: 2266600140

Unaweza kuweka pesa kupitia tawi lolote la Benki hizi Tanzania.


CHANGIA CHADEMA KUPITIA SMS (MESEJI):
Tuma neno:

"CHADEMA" kwenda namba 15710
"NAJIUNGA" kwenda namba 15710
"SLAA" kwenda namba 15710

Unaweza kutuma meseji mara nyingi kadri unavyoweza na kila ujumbe utagharimu TZS 350/= tu.
HII NI KWA MITANDAO YA ZAIN, TIGO NA VODACOM TU.

CHANGIA KUPITIA M-PESA:
Kwa watakaotaka kuchangia kwa M-Pesa wanaweza kutumia namba zifuatazo:
0758 223 344
0764 776 673

CHANGIA KUPITIA ZAP:
Kwa watakaotaka kuchangia kwa ZAP wanaweza kutumia namba hii:

0789 555 333

"Ndugu Zangu Watanzania, tunawaomba kwa dhati kabisa tushikamane, tushirikiane bila kujali itikadi zetu kuchangia harakati hizi, tunawashukuru sana. - Dr. Wilbroad Peter Slaa"

CHAGUA MABADILIKO YA KWELI.

CHAGUA CHADEMA.
 
Back
Top Bottom