Shalom
JF-Expert Member
- Jun 17, 2007
- 1,315
- 124
Changia CHADEMA kwa kutuma neno "CHADEMA" kwenda 15710 (Zain na Voda tu)
Hili si jipya jamani ila nimeona tukumbushane kidogo kuwa nguvu zetu zinahitajika hata kama ni kidogo kidogo kuweza.
Naona siku za karibuni malaria na mwenzie wako busy sana na vyama vyao vya kijamaa!
Makadirio ya Bajeti ya Uchaguzi Mkuu 2010
CHADEMA inakadiria kwamba kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 itatumia kiasi kisichozidi bilioni tano; kiwango ambacho kitahusisha kampeni zote za chama kwa ujumla wake kuanzia kwenye udiwani, ubunge na urais kwa matumizi yote ya uteuzi ndani ya chama pamoja na kampeni zenyewe.
Hata hivyo, Chama hakina kiasi hicho cha fedha na mikakati inaendelea kuandaliwa na kutekelezwa kwa ajili ya kukusanya fedha kwa wanachama na wapenzi.
Hili si jipya jamani ila nimeona tukumbushane kidogo kuwa nguvu zetu zinahitajika hata kama ni kidogo kidogo kuweza.
Naona siku za karibuni malaria na mwenzie wako busy sana na vyama vyao vya kijamaa!
Makadirio ya Bajeti ya Uchaguzi Mkuu 2010
CHADEMA inakadiria kwamba kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 itatumia kiasi kisichozidi bilioni tano; kiwango ambacho kitahusisha kampeni zote za chama kwa ujumla wake kuanzia kwenye udiwani, ubunge na urais kwa matumizi yote ya uteuzi ndani ya chama pamoja na kampeni zenyewe.
Hata hivyo, Chama hakina kiasi hicho cha fedha na mikakati inaendelea kuandaliwa na kutekelezwa kwa ajili ya kukusanya fedha kwa wanachama na wapenzi.