Watanzania wamekatishwa tamaa na tabia ya viongozi kutoleta marejesho ya maichango.
Niliwahi kuhoji pesa tulizochangia ARUMERU sikupata majibu, kwa hiyo nakuomba uwafikishie wakuu wako, wanachama tunahitaji mirejesho ya michango yetu.
Jambo la pili ni hiyo namba ya kuchangia 11 13 33 , michango hiyo kuna wasiwasi inapelekwa kusipo tazama hoo link
11, 13 and 33: The Illuminati / Freemason Signature
Umeelewa?
Hii nzuri lakini umma umeeleweshwa kiasi gani ili kuwa na confidence kwamba huu si utapeli,? Tafadhali fanyeni utaratibu wa ku formalize hii plan[h=6]Changia CHADEMA kupitia M-PESA kufanikisha Vuguvugu la Mabadiliko nchi nzima
Chadema ina takribani wanachama milioni mbili. Kila mmoja akichangia angalau shs 1,000/- kwa mwezi, M4C inapata Bilioni 2. Hii ni mara 10 ya ruzuku inayopata Chadema kwa mwezi. Mara 10!
Kuwa sehemu ya mabadiliko na kuwa upande sahihi wa historia. Waweza kuchangia kiasi chochote kile mara nyingi kadri unavyopenda. Wajulishe wengine pia kuhusu habari hii
Jinsi ya kuchangia:
Bonyeza *150*00#
Chagua 4. Lipa bili yako
Chagua 1. Ingiza namba ya kampuni
Ingiza namba ya kampuni (111 333)
Ingiza namba ya kumbukumbu. (Namba yako ya simu)
Ingiza kiasi (Kiasi chochote kuanzia 1,000 mpaka 1,000,000)
Ingiza namba ya siri (Namba yako ya siri)
Thibitisha kwa kubonyeza 1 au batilisha kwa kubonyeza 2.[/h]
[h=6]Changia CHADEMA kupitia M-PESA kufanikisha Vuguvugu la Mabadiliko nchi nzima
Chadema ina takribani wanachama milioni mbili. Kila mmoja akichangia angalau shs 1,000/- kwa mwezi, M4C inapata Bilioni 2. Hii ni mara 10 ya ruzuku inayopata Chadema kwa mwezi. Mara 10!
Kuwa sehemu ya mabadiliko na kuwa upande sahihi wa historia. Waweza kuchangia kiasi chochote kile mara nyingi kadri unavyopenda. Wajulishe wengine pia kuhusu habari hii
Jinsi ya kuchangia:
Bonyeza *150*00#
Chagua 4. Lipa bili yako
Chagua 1. Ingiza namba ya kampuni
Ingiza namba ya kampuni (111 333)
Ingiza namba ya kumbukumbu. (Namba yako ya simu)
Ingiza kiasi (Kiasi chochote kuanzia 1,000 mpaka 1,000,000)
Ingiza namba ya siri (Namba yako ya siri)
Thibitisha kwa kubonyeza 1 au batilisha kwa kubonyeza 2.[/h]
Wewe ukieleweshwa kama unania njema na chama elewesha na wenzako.......kama hujaelewa uliza utajibiwaHii nzuri lakini umma umeeleweshwa kiasi gani ili kuwa na confidence kwamba huu si utapeli,? Tafadhali fanyeni utaratibu wa ku formalize hii plan
Safi sana kamanda.....HQ04U983 comfirmed. Tsh 5000 sent to CHADEMA.
Karibu na wewe uchangie nguvu ya MABADILIKO.
wanabodi, mbona hii link *150*00# inagoma?
Safi sana kamanda.....
Hata mmeo iko siku utamwita freemasons!?CHADEMA ni freemasons?
sasa tumejua,
WASABATO TUKO WAPI?
Changia CHADEMA kupitia M-PESA kufanikisha Vuguvugu la Mabadiliko nchi nzima
Chadema ina takribani wanachama milioni mbili. Kila mmoja akichangia angalau shs 1,000/- kwa mwezi, M4C inapata Bilioni 2. Hii ni mara 10 ya ruzuku inayopata Chadema kwa mwezi. Mara 10!
Kuwa sehemu ya mabadiliko na kuwa upande sahihi wa historia. Waweza kuchangia kiasi chochote kile mara nyingi kadri unavyopenda. Wajulishe wengine pia kuhusu habari hii
Jinsi ya kuchangia:
Bonyeza *150*00#
Chagua 4. Lipa bili yako
Chagua 1. Ingiza namba ya kampuni
Ingiza namba ya kampuni (111 333)
Ingiza namba ya kumbukumbu. (Namba yako ya simu)
Ingiza kiasi (Kiasi chochote kuanzia 1,000 mpaka 1,000,000)
Ingiza namba ya siri (Namba yako ya siri)
Thibitisha kwa kubonyeza 1 au batilisha kwa kubonyeza 2.
Najua wewe sio chadema! Au hauko serious!
Acha tuwawezeshe kwasababu ndiyo chama kinacho onekana kututetea tulio wengi lakini wajue hatuna ndoa nao siku wakisahau uwajibu wao kama CCM tunapiga chini....Tutachangia sana tu ila nanyi mzitumie vizuri hasa kusimika viongozi wazuri vijijini. CDM oyee!!