Binti zanda
Member
- Sep 11, 2017
- 39
- 38
Mm ni msichana mw umri wa miaka 24 ni miongoni waliojaaliWaa kuolewa ndoa za mapema maana nilifunga ndoa na mume wangu nikiwa na miaka 20:mpaka sasa nimedumu kwa takriban miaka minne.
Nisiwachoshe sana niende moja kwa moja kilichonifanya nifungue huu uzi.mm na mume wangu kwa miaka hiyo minne tumeishi katika changamoto nyingi ikiwemo ugomvi wa mara kwa mara ,visirani kupigana pamoja na tabia ya ulevi za mara kwa mara na matatizo haya yote yapo upande wa mume wangu kwa sababu hata tunavyokaa vikao mara nyingi yy ndio huwa na hatia.kifupi mume wangu ni mlevi kupindukia inafika hatua mpaka hujitapikia ndani (usiombe kuona matapishi ya pombe) mkari aliyepitiliza hana muda wa kukaa nyumbani yy ni starehe mpaka usiku wa manane ingawa alishakutana na majanga mengi usiku wa manane akiwa anarudi lakin haikusaidia yy kuacha na kujirekebisha.
Imefikia hatua tulifikishana mpaka bakwata ili anipe talaka yangu maana nilihisi yamenishinda maisha ya ndoa.tukiwa na wazazi wa pande zote wakiwemo alikiri kuwa pombe ndio inayosbabisha awe na tabia zote chafu anazofanya hivyo nimsamehe atorudia tena hata kushika pombe na endapo ataishika au kuonja pombe basi hiyo iwe ndio taraka zangu tena zote tatu.tukazameheana kwa makibaliano hayo.
Alipumzika kwa muda wa mwezi mmoja baada ya hapo aliludia tena kunywa pombe kufabya fujo na kurudi usiku wa manane kama kawaida .
Sasa jamani kwa imani ya dini ya kiislam hapo kuna ndoa tena au tunapoteza muda tuu.na je kama ni taraka zinahesabika tatu kama alivyosema au nimoja nipo njia anda .naombeni mnisaidie kutatua hii changamoto kwa imani ya dini ya kiisalam ahsante.
NB:Hekima na busara zitumike katika kutoa ushauri
Ahsanteni
Nisiwachoshe sana niende moja kwa moja kilichonifanya nifungue huu uzi.mm na mume wangu kwa miaka hiyo minne tumeishi katika changamoto nyingi ikiwemo ugomvi wa mara kwa mara ,visirani kupigana pamoja na tabia ya ulevi za mara kwa mara na matatizo haya yote yapo upande wa mume wangu kwa sababu hata tunavyokaa vikao mara nyingi yy ndio huwa na hatia.kifupi mume wangu ni mlevi kupindukia inafika hatua mpaka hujitapikia ndani (usiombe kuona matapishi ya pombe) mkari aliyepitiliza hana muda wa kukaa nyumbani yy ni starehe mpaka usiku wa manane ingawa alishakutana na majanga mengi usiku wa manane akiwa anarudi lakin haikusaidia yy kuacha na kujirekebisha.
Imefikia hatua tulifikishana mpaka bakwata ili anipe talaka yangu maana nilihisi yamenishinda maisha ya ndoa.tukiwa na wazazi wa pande zote wakiwemo alikiri kuwa pombe ndio inayosbabisha awe na tabia zote chafu anazofanya hivyo nimsamehe atorudia tena hata kushika pombe na endapo ataishika au kuonja pombe basi hiyo iwe ndio taraka zangu tena zote tatu.tukazameheana kwa makibaliano hayo.
Alipumzika kwa muda wa mwezi mmoja baada ya hapo aliludia tena kunywa pombe kufabya fujo na kurudi usiku wa manane kama kawaida .
Sasa jamani kwa imani ya dini ya kiislam hapo kuna ndoa tena au tunapoteza muda tuu.na je kama ni taraka zinahesabika tatu kama alivyosema au nimoja nipo njia anda .naombeni mnisaidie kutatua hii changamoto kwa imani ya dini ya kiisalam ahsante.
NB:Hekima na busara zitumike katika kutoa ushauri
Ahsanteni