KERO Changamoto ya vumbi kwenye mradi wa kupanua barabara Mbagala Kokoto kwenda Kongowe

KERO Changamoto ya vumbi kwenye mradi wa kupanua barabara Mbagala Kokoto kwenda Kongowe

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Habari za muda huu,

Wakazi wa Mzinga, Kongowe, Toangoma, Vikindu na Kisemvule ambao ni watumiaji wakubwa wa barabara ya Kilwa (Kilwa Road) tumekuwa tunakumbana na changamoto ya VUMBI ambalo limekuwa likituletea magonjwa yanayotokana na VUMBI

Kwenye MRADI WA upanuzi wa barabara hiyo, Mkandarasi toka ameanza MRADI huu amekuwa ni nadra sana kukuta maji yakimwagwa barabarani ili kupunguza VUMBI.

Tunampongeza kwa Kasi anayoenda nayo kwani kazi inaonekana ila,
PXL_20260216_114624855.jpg
tunaomba Mkandarasi anayejenga Barabara hii aweze kuwa anamwaga maji kupunguza VUMBI.
 
Piga simu kwa waziri wa barabara au Mkuu wa Tanroads awasukume wakandarasi.
 
Mawaziri kwa uchaguzi gani brother!?
Rafiki najua hakunanmawaziri, lkn sasa watekaji wameteka na mali zetu, tunafanyaje? Tuwaambie watupe mali zetu tuondokane na vumbi kwa vile hatuna alternative way ya kuwatoà wezi hao.
 
AH AH WABONGO KILA KITU CHANGAMOTO...WAAMBIE WACHINA WA JANGWANI WAACHIE MVUA KWANZA VUMBI LIPO MJI MZIMA
Aisee wewe ni MTU wa 5 nakusikia kuhusu hawa wachina kuifunga mvua ..
Kwahiyo hili jua tutaenda nalo Hadi mwezi gani?
 
Acha ulalamishi. Maendeleo hayawezi kuja bila changamoto za hapa na pale.
 
hi barabara wanataka kuikamilisha lini? --- nimeona tanroads wamepost wanataka kuweka underpass kongowe hapo
 
Back
Top Bottom