Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,857
- 1,915
Habari ya kuamka wakuu natumai mmeamka salama kwenda kupambana kutafuta riziki na Harakati za kuikomboa nchi zikiendekea.
Inshort ni kwamba Nina Simu yangu Samsung A42 5G ina changamoto ya kuzima na kuwaka yenyewe na hata ikiwaka kuna baadhi ya vitu havifanyi kazi kama Bluetooth, wi-fi,hotspot na Simu toka niinunue (used)ina kama miezi 5.
Msaada tutani jinsi ya kufix au mwenye ufahamu kuhusu hii shida.
Kingine ni changamoto ya Simu hizi za decomo inachangamoto ya kutopandisha mtandao yaani wakati ukiwasha data haipandishi data japo mwanzo ilikuwa poa tu ila kuhusu Access point name zipo ok msaada wataalamu karibuni kutoa msaada.
Inshort ni kwamba Nina Simu yangu Samsung A42 5G ina changamoto ya kuzima na kuwaka yenyewe na hata ikiwaka kuna baadhi ya vitu havifanyi kazi kama Bluetooth, wi-fi,hotspot na Simu toka niinunue (used)ina kama miezi 5.
Msaada tutani jinsi ya kufix au mwenye ufahamu kuhusu hii shida.
Kingine ni changamoto ya Simu hizi za decomo inachangamoto ya kutopandisha mtandao yaani wakati ukiwasha data haipandishi data japo mwanzo ilikuwa poa tu ila kuhusu Access point name zipo ok msaada wataalamu karibuni kutoa msaada.