Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Tangu nipo mahusiano na huyu mwanamke nimejikuta mwelekeo wa maisha maana kuna vitu nilikuwa sivifanyi nimejikuta nafanya ili twende nae sawa kama ifuatavyo ...::
1.Nimefungua biashara ya aina tatu tofauti ili kujiongeza kipato zaidi at least ndani ya mwezi nitengeze laki 5 ambayo sawa na mshahara wa mchumba at least twende sawa
2.nilikuwa naishi kwa ndugu nimejikuta nahamia kwangu ambako sasa nimepanga maana nilikuwa najisikia vibaya nikiona mchumba wangu Anajitegemea mie bado nipo naishi kwa ndugu
3.nilikuwa mtu wa pombe viwanja sasa hivi nimejikuta nawaza maisha nataka kuwa maisha ambayo familia ya mchumba waone yes umepata mchumba
4.nilikuwaga sina tabia ya kukaa chini kuwaza maisha ya badae yatakuwaje lakini sasa hivi nawaza hatari maana
5.Hela yangu nilikuwa naipeleka sana kwenye anasa nikipata saivi naitumia kufanya vitu vya kimaendeleo
6.Elimu yangu ilikuwa diploma sasa hivi nipo degree najiongeza kielimu
Yapo mengi zaidi nakuja kusimulia
1.Nimefungua biashara ya aina tatu tofauti ili kujiongeza kipato zaidi at least ndani ya mwezi nitengeze laki 5 ambayo sawa na mshahara wa mchumba at least twende sawa
2.nilikuwa naishi kwa ndugu nimejikuta nahamia kwangu ambako sasa nimepanga maana nilikuwa najisikia vibaya nikiona mchumba wangu Anajitegemea mie bado nipo naishi kwa ndugu
3.nilikuwa mtu wa pombe viwanja sasa hivi nimejikuta nawaza maisha nataka kuwa maisha ambayo familia ya mchumba waone yes umepata mchumba
4.nilikuwaga sina tabia ya kukaa chini kuwaza maisha ya badae yatakuwaje lakini sasa hivi nawaza hatari maana
5.Hela yangu nilikuwa naipeleka sana kwenye anasa nikipata saivi naitumia kufanya vitu vya kimaendeleo
6.Elimu yangu ilikuwa diploma sasa hivi nipo degree najiongeza kielimu
Yapo mengi zaidi nakuja kusimulia