Changamoto ya Emails kusomwa

Changamoto ya Emails kusomwa

MangiMix

Member
Joined
Feb 18, 2020
Posts
27
Reaction score
18
Kwa research yangu asilimia 75% ya interview na kazi nilizowahi fanya niliapply kwenye system ya organization moja kwa moja.. Asilimia 20% nilipeleka CV phyisically na 5% ni kutumia njia zingine kama Whatsapp nk.

Hii ikimaanisha kwamba sijawahi pata mrejesho wowote postive baada ya kuapply kazi kwa Email ikiwa ndio njia inayotumika sana kuapply kazi.

🏳Swali langu la msingi ni je ni mimi pekee ambaye na experience haya? Kama jibu ni Ndiyo itakua ninakosea wapi?
Ukizingatia CV ninazoapply kwenye system,kupelekea physically,whatsapp nk na ninafanikiwa, ndiyo hizo hizo natuma kwenye email ikitegemeana na position.
 
1.Sometimes emails huwa hazionekani KWA wakati.
2.Pia emails zinaweza kuwa nyingi ndo maana wanashindwa kusoma labda.
3. Inategemea na siku uliyotuma email
eg weekend / holiday inapelekea ikifika work day, na kama wanakazi nyingine za kufanya wanaignore tu hayo maombi
 
Back
Top Bottom