Sasa mtendaji akipigiwa simu na napa, Labda mtendaji 1 atakuwa na watu 100 kwenye shehia yake ambao wataomba mkopo hawa wote atawaidhinisha kwenye simu atakayopigiwa? au Mtendaji akiingia jina lake tu inatosha watu wake kutambuliwa kwa wale washaojisajili na kupata ref number??