PROSPER 05
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 226
- 217
Baada ya Matokeo ya Kidato cha pili Kutangazwa na NECTA, wengi wa wazazi niliobahatika kuwaangalizia matokeo online, Hawakuwa na uelewa wowote na upangaji wa madaraja ya ufaulu yaani "DISTINCTIONS" Kwa wastani wa juu, "MERIT" kwa wastani wa kati na "PASS" kwa wastani wa chini.
Wengi wameonekana kufurahia zaidi unapompa taarifa kuwa mwanae amepata "PASS" na wengi wameonekana kushangaa unapomwambia kuwa mwanae ana "MERIT"
Je utaratibu huu unakanganya au Wazazi Hawajapewa Elimu ya kutosha?
Wengi wameonekana kufurahia zaidi unapompa taarifa kuwa mwanae amepata "PASS" na wengi wameonekana kushangaa unapomwambia kuwa mwanae ana "MERIT"
Je utaratibu huu unakanganya au Wazazi Hawajapewa Elimu ya kutosha?