Kwani thread hii nilipost ili wewe uisifie???????
Tunakujua wewe ni sawa na Kiberiti ngoma kwa kujiingiza ktk kila hoja. Endelea tu kujipa matumaini km huyo Nape wako kwa kudhani kuwa kutunga uwongo dhidi ya Chadema ndio njia ya kukiuwa!!
Mtasubiri sana!!!
Kwa andiko lako hili,tegemea hata thread yote kudharauliwa
chadema ni genge la wahuni wasiotaka mabadiliko!
Duh nimegeuka kibiriti ngoma?
Sasa mkibaki wachaga peke yenu itawasaidia nini?au wachaga wenzenu ndio watawaingiza ikulu? Hii ndio faida ya kuanzisha uzi wakati mbege imekolea kichwani.
Unawazimu wewe changudoa ehhh...Labda wewe ndo utaidharau.....Pu.mb.avu kabisa hna akili...
wewe unastahili matusi zaidi fisadi mkubwa wewe. Mmeimaliza nchi halafu tuwachekee.
Ni miaka mingi sasa tangu CCM na vibaraka wake wakitumia propaganda ya Udini na Ukanda Kujaribu kuwaaminisha Watanzania kwamba Chadema chama kikuu cha upinzani na kinachobeba matumaini ya Watanzania ni chama cha Kikabila [wachaga] na ni ya kanda ya kaskazini.
Kinachonishangaza ni kitendo cha hawa wanaoikosoa Chadema kuendelea kungangania kubaki ktk chama kinachodaiwa ni cha kikabila na Kidini.
Kama kweli wanaona Chadema kiko hivyo si waachane nayo na kuunda au kujiunga na chama ambacho sio cha kikabila na kikanda?
Kuendelea kwao kuwepo ktk chama wanachokituhumu kuwa ni cha kibaguzi ni dhahiri kwamba wanacho kisema ni uongo na kwamba nyuma ya agenda yao hiyo kuna siri iliyojificha na ndio maana hawaondoki na badala yake wanaendelea kutumika ili kutimiza malengo ya wafadhili wao.
Duh nimegeuka kibiriti ngoma?
Hivi umemuelewa mleta uzi au unabwabwaja kama zuzu..
kweli kabisa
Lisemwalo lipo kama halipo linakuja huenda itakuja kuthibitika baadaye kuwa cha kikabila, kidini na kikanda maana muda upo bado haujaisha!
Mkuu leo haupo kwenye form kabisa, yan toka asubuhi unavyoongea havieleweki
Sasa mkibaki wachaga peke yenu itawasaidia nini?au wachaga wenzenu ndio watawaingiza ikulu? Hii ndio faida ya kuanzisha uzi wakati mbege imekolea kichwani.
chadema ni genge la wahuni wasiotaka mabadiliko!
Kwani thread hii nilipost ili wewe uisifie???????
Tunakujua wewe ni sawa na Kiberiti ngoma kwa kujiingiza ktk kila hoja. Endelea tu kujipa matumaini km huyo Nape wako kwa kudhani kuwa kutunga uwongo dhidi ya Chadema ndio njia ya kukiuwa!!
Mtasubiri sana!!!
Sio kila lisemwalo lipo au laja!! Mengine ni maneno tu.
Kwa mfano wanaosema kwamba mzee mmoja kiongozi ktk nchi hii anafanana na Sokwe je ni kweli kwamba kwa vile inasemekana hivyo basi siku moja anaweza kugeuka na kwenda Gombe kukuta ndugu zake??
Sio kila lisemwalo Lipo au laja. Kumbuka kuwa huo ni usemi tu.
Hivi nyinyi watoto wa Mtei akili zenu mmefungia kwenye mabegi unaandika hovyohovyo tu alafu unataka great thinker wasapoti utumbo,inaonyesha hata shule hukwenda wewe unamawazo mgando kabisa.