Rubengo J Rubengo
Member
- Jul 30, 2014
- 46
- 2
Habarini ndg wapendwa,
Kuna jambo linanitatiza kuhusu ajira za Tanzania, nashindwa kuelewa ni kwanini mashirika mengi hapa Tanzania yanapotangaza nafasi za ajiara hayaweki dhahiri/hadharani kiwango cha mshahara?
Utakuta wanaandika tu qualification za muombaji nanduties atazojiusisha nazo, lakini wana fail kumuwekea applicant kiwango chake cha mshahara itakua shilingi ngapi!
Ukiangalia mashirika ya wenzetu wanaweka job tittle na kiwango cha mshahara kwanini sisi hatuweki au ili swala nyie kama watanzania mnalichukulije?
Naomba ufafanuzi yoyte anaeweza kuchanganua ili jambo.
Kuna jambo linanitatiza kuhusu ajira za Tanzania, nashindwa kuelewa ni kwanini mashirika mengi hapa Tanzania yanapotangaza nafasi za ajiara hayaweki dhahiri/hadharani kiwango cha mshahara?
Utakuta wanaandika tu qualification za muombaji nanduties atazojiusisha nazo, lakini wana fail kumuwekea applicant kiwango chake cha mshahara itakua shilingi ngapi!
Ukiangalia mashirika ya wenzetu wanaweka job tittle na kiwango cha mshahara kwanini sisi hatuweki au ili swala nyie kama watanzania mnalichukulije?
Naomba ufafanuzi yoyte anaeweza kuchanganua ili jambo.