Chanel ten: Makwaiya Wakuhenga, Renatus Mkinga na Dr. Kasoga wazungumzia Katiba Mpya

Riziki Magembe

JF-Expert Member
Apr 5, 2014
886
206
Katika kipindi cha 'je tutafika chanel ten' muda huu hawa wazee hawataki mabadiriko na hawataki kusoma alama ukutani,watapata BP serikali 3 zitapita tu.

Mbona wanamuenzi mwl Nyerere kwenye mambo wanayopenda wao?

Mbona hawasemi kufa kwa azimio la Arusha?

Mbona hawasemi ufisadi na umaskini?

Hawa wazee wanapotosha umma.
 
Katika kipindi cha je tutafika chanel ten muda huu hawa wazee hawataki mabadiriko na hawataki kusoma alama ukutani,watapata bp serikali 3 zitapita tu;mbona wana muezi mwl nyerere kwenye mambo wanayopenda wao?mbona hawasemi kufa kwa azimio la arusha?mbona hawasemi ufisadi na umaskini?hawa wazee wanapotosha umma
Kwa kweli njaa mbaya sana, sijaamini kumwona na kumsikia Renatus Mkinga alivyotindikiwa akili baada ya kulambishwa ramba ramba na ccm, akili zake zote zimehamia Masabulini, kiukweli nimemdharau sana, sana.
 
Katika kipindi cha je tutafika chanel ten muda huu hawa wazee hawataki mabadiriko na hawataki kusoma alama ukutani,watapata bp serikali 3 zitapita tu;mbona wana muezi mwl nyerere kwenye mambo wanayopenda wao?mbona hawasemi kufa kwa azimio la arusha?mbona hawasemi ufisadi na umaskini?hawa wazee wanapotosha umma


Jamani kazi za kufanywa na wastaafu ni za ajabu sana, njaa ni mbaya kwa hiyo anamtumikia Kafiri apate mradi wake. Rejeeni kile kipindi alichokuwa anahojiana na Mh. Suluhu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum ya Katiba, Yale maagizo aliyopewa mwishoni mwa kipindi. Alipewa maagizo kumponda Jaji Waryoba na Rasimu kwa Jumla.
 
Kwa kweli njaa mbaya sana, sijaamini kumwona na kumsikia Renatus Mkinga alivyotindikiwa akili baada ya kulambishwa ramba ramba na ccm, akili zake zote zimehamia Masabulini, kiukweli nimemdharau sana, sana.

Huenda ni miongoni mwa wanaofikili kwa kutumia Ma------!!! Wbongo hatujambo kwa unafiki na usaliti!
 
Kabla ya kumlaumu Renatus Mkinga Fuatilia historia yake tangu alipozaliwa, alikosoma, alikopata mafunzo mengine ya utumishi serikalini, alikofanya kazi nk ndo utajua kwa nini sasa hivi anaitumikia serikali iliyopo madarakani.
 
Back
Top Bottom