Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Katika kipindi cha 'je tutafika chanel ten' muda huu hawa wazee hawataki mabadiriko na hawataki kusoma alama ukutani,watapata BP serikali 3 zitapita tu.
Mbona wanamuenzi mwl Nyerere kwenye mambo wanayopenda wao?
Mbona hawasemi kufa kwa azimio la Arusha?
Mbona hawasemi ufisadi na umaskini?
Hawa wazee wanapotosha umma.
Mbona wanamuenzi mwl Nyerere kwenye mambo wanayopenda wao?
Mbona hawasemi kufa kwa azimio la Arusha?
Mbona hawasemi ufisadi na umaskini?
Hawa wazee wanapotosha umma.