Kwa wale mnaopata ZBC, mechi ya stars inaoneshwa live, TBC wamekausha! Matokeo ni 0-0 mpaka sasa.
Dakika ya 23 bado milango ni migumu
============
Dakika ya 25, papara za Taifa stars zinaikosesha goli muhimu sasa wanashambuliwa wao
============
Dakika ya 28 Stars wanafanya shambulio zuri lakini mipango yao inagonga mwamba.
=========
Dakika ya 36 Stars wanapoteza nafasi baada ya Erasto kupiga faulo ambayo haikuzaa matunda
Gooooooooo,Uganda wanaandika goli lakwanza Dk 38
===========
Dakika ya 45, Msuva anakosa goli la wazi kabisa.
========
Mpira ni mapumziko, Stars iko nyuma kwa goli 1 Mfungaji wa Uganda ni Sekisambu.