Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Ha ha ha Kyeni Kikafu unanimaliza(sa) sana na iyo kauli ya "Kusunguka-sunguka" umeiweka kila post yako-Natwa Mbee!!!
Usishangae siku ukisikia jamaa amekuwa BuddhistJamaa anazunguka sana lol
<br />Jamaa anazunguka sana lol
eep:eep:eep:eep:eep:
Be blessed Chameleone na Mkeo. Yesu anawapenda.
Kwa wale wote wasiojuwa wapi wanakwenda, basi fuateni mfano wa Chameleone. Mlango bado upo wazi. Kwa sala ya toba, nenda jukwaa la dini, ipo sala huko itakayo kuongoza au PM Max.