Dunia yakoo
Senior Member
- Nov 23, 2019
- 139
- 214
Chama Wananchi CUF katika salamu za mwaka mpya wametoa pole kwa familia za wafiwa na majeruhi katika ajali iliyotokea Morogoro mjini10 Aug 2019 iliyosababisha wananchi zaidi ya 100 kupoteza maisha na wengine kujeruhiwa baada ya ajali ya la Petroleum kupinduka na moto kuripuka.
chanzo #tanzania24 fb