Chama langu Simba hatari inakuja tuchukue tahadhari

Mechi ya kuzindua uwanja tulishinda.Na goli alifunga Abdi Kassim Babi,nadhani baada ya hapo kukawa Na mechi ya mashindano nadhani tulikuwa tunahitaji droo au ushindi.Maskini goli la Mwanzoni la Black Mamba lililofungwa Na Tico Tico halikurudi mpaka 90 zinaisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…