Chama kipya cha ACT Tanzania chaendelea kurudia makosa ya vyama vya Upinzani Tanzania

Kula tano;na pia upinzani waelewe kupishana mawazo sio usaliti bali ndio demokrasia yenyewe na pia waache kudhani wao wapo juu ya sheria kwa kutesa watu kama ni kweli kwani ukweli halisi wanaujua wao na pia waache kuundiana zengwe zisizo na msingi kwa maslahi binafsi

Wewe akili zako ni za ku-unga-unga na haujitambui.Zito hakuwa ana-chalenges bali alikuwa akitumika kuhujumu chama.Hujuma sio chalenjı.Vyama vimejiwekea taratibu,ukizikiuka na kwenda kinyume unaondoka.Si Watanzania wote n wanachama wa vyama bali wananua sera za vyama zinazowapendeza.Zito kama sio mwenye tamaa,nna imani kati ya vyama 18,asingekosa kımojawapo kujiunga.Tatzo lake anataka awe Mwenyekiti na huko kwingne hawangemwachıa,akaanzisha chake.
 
Kumekucha tena JF na vituko vyake Bavicha leo wanapa ushauri ACT kuwa wana makosa lakini chama cha Malaika Chadema wao hawana kosa hata moja.

Acha ushabiki Mkuu soma hiyo contents vizuri.
 
Wafuasi wa zitto ruksa kumfuata hukohuko act a.k.a tawi la ccm! Sisi wengine tutakomaa na cdm mpaka watakapobadilisha sera na kukumbatia kulindana kama ccm inavyolinda majizi kina makengeza!
 
Wafuasi wa zitto ruksa kumfuata hukohuko act a.k.a tawi la ccm! Sisi wengine tutakomaa na cdm mpaka watakapobadilisha sera na kukumbatia kulindana kama ccm inavyolinda majizi kina makengeza!

Kama Chadema inavyolinda wachagga
 
Hivi bado mnamfuatilia Zzk, muacheni jamen aendelee na siasa c mmeshamfukuza, bado mnatafuta nn kwake, acheni roho mbaya hiyo.
 
hivi mnao mtetea zito mnazani ata yeye akiwa mwenyekiti atakubali kupinduliwa kilaisi hapo ACT ???
 
Zitto ni kijana mhuni ndo maana hataki hata kuoa kazi yake kugegeda visichana tofauti kila siku. Ni ndumila kuwili. Najua kwa hakika atakuwa anatumikia act20% na ccm80%. Ndo maana ccm walikuwa wanataka abaki cdm
 
Back
Top Bottom