Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,951
Nawasalimu wana JF nilikuwa nimebanwa na kazi kwa mda mrerfu.
Leo nimepata nafasi hii naomba niwasilishe mawazo yangu kwenu tuweze kuyajadili.
Hapa ni kuhusu je chama kipi kinacho faa sasa kuongoza nchi yetu?
Kwanza nianze kwa kuongelea vyama vikubwa hapa nchini yaani CUF,NCCR-Mageuzi, UDP,CHADEMA na CCM.
Mimi sijui sana sera ndani ya vyama vyote ila nina ona matendo ya vyama hivyo:
CUF- imejaribu sana kuwashawishi watu na imejikuta ikiwagawa watanzania katika matabaka matabaka (Yaani Uzanzibar na Utanganyika; Ukristo na uislam)
NCCR-Mageuzi- Hiki chama kilijipatia sifa kubwa sana na kuwa na wanachama wengi lakini kilionekana kuwa hakikuwa na vision kilikuwa ni chama cha msimu. Kwa sasa kimepoteza ubora ndani ya watanzania na sera yake kwa sasa imejificha haijulikani.
UDP- Sera yake imekuwa ni kuwajaza watu mapesa. Hii sera haikueleweka kwa watu maana yake. Hakikuweza kabisa kupenya maana kiongozi wake hakuwa na msimamo mara anagombea urais mara ubunge matokeo yake kikakosa mwelekeo.
CHADEMA- Kimejipatia umaarufu kwa watanzania wengi baada ya kuanza kusema matatizo yaliyopo tanzania lakini kimejikuta kikiingiliwa na yule mdudu wa CUF (Yaani Utanganyika na Uzanzibar; Ukristo na Uislam). Kimefanikiwa sana kupenaya kwa vijana. lakini kimekuwa hakina vision maana viongozi wamekuwa wakirumbana mara kwa mara. Kimegubikwa na kasoro nyingi sana. Pamoja na kufukuza fukuza wanachama kwa kuwahisi kuwa ni wasaliti.
CCM- Hiki chama kiliundwa kwa muunganiko wa vyama viwili yaa ASP na TANU vyama vilivyo ipa uhuru Tanganyika na Zanzibar. Kimejipatia umaalufu sana ndani na nje ya tanzania lakini kwenye miaka ya 2000 -2010 kimegubikwa na kasoro nyingi za kifisadi. Lakini miaka ya 2011 mpaka sasa kimekuwa kikibadilika siku baada ya siku kurudi katiaka hali yake ya kwanza.
Kimekuwa mzazi wa vyama vyote maana sera zake zimekuwa mama. Ni chama kilicho komaa kisiasa. Kimetoa viongozi wazuri sana.
Mawazo yangu:
Nahisi vyama vingine vyote bado ni vichanga sera zake nyingi ni za kugawa watanzania. Ninawaomba watanzania tubaki na CCM kwa mda wa miaka 20 mpaka vyama vingine vitakapo jitambua vinatakiwa kufanya nini. Sio kuendekeza ubinafsi na umimi.
Ahsanteni
Leo nimepata nafasi hii naomba niwasilishe mawazo yangu kwenu tuweze kuyajadili.
Hapa ni kuhusu je chama kipi kinacho faa sasa kuongoza nchi yetu?
Kwanza nianze kwa kuongelea vyama vikubwa hapa nchini yaani CUF,NCCR-Mageuzi, UDP,CHADEMA na CCM.
Mimi sijui sana sera ndani ya vyama vyote ila nina ona matendo ya vyama hivyo:
CUF- imejaribu sana kuwashawishi watu na imejikuta ikiwagawa watanzania katika matabaka matabaka (Yaani Uzanzibar na Utanganyika; Ukristo na uislam)
NCCR-Mageuzi- Hiki chama kilijipatia sifa kubwa sana na kuwa na wanachama wengi lakini kilionekana kuwa hakikuwa na vision kilikuwa ni chama cha msimu. Kwa sasa kimepoteza ubora ndani ya watanzania na sera yake kwa sasa imejificha haijulikani.
UDP- Sera yake imekuwa ni kuwajaza watu mapesa. Hii sera haikueleweka kwa watu maana yake. Hakikuweza kabisa kupenya maana kiongozi wake hakuwa na msimamo mara anagombea urais mara ubunge matokeo yake kikakosa mwelekeo.
CHADEMA- Kimejipatia umaarufu kwa watanzania wengi baada ya kuanza kusema matatizo yaliyopo tanzania lakini kimejikuta kikiingiliwa na yule mdudu wa CUF (Yaani Utanganyika na Uzanzibar; Ukristo na Uislam). Kimefanikiwa sana kupenaya kwa vijana. lakini kimekuwa hakina vision maana viongozi wamekuwa wakirumbana mara kwa mara. Kimegubikwa na kasoro nyingi sana. Pamoja na kufukuza fukuza wanachama kwa kuwahisi kuwa ni wasaliti.
CCM- Hiki chama kiliundwa kwa muunganiko wa vyama viwili yaa ASP na TANU vyama vilivyo ipa uhuru Tanganyika na Zanzibar. Kimejipatia umaalufu sana ndani na nje ya tanzania lakini kwenye miaka ya 2000 -2010 kimegubikwa na kasoro nyingi za kifisadi. Lakini miaka ya 2011 mpaka sasa kimekuwa kikibadilika siku baada ya siku kurudi katiaka hali yake ya kwanza.
Kimekuwa mzazi wa vyama vyote maana sera zake zimekuwa mama. Ni chama kilicho komaa kisiasa. Kimetoa viongozi wazuri sana.
Mawazo yangu:
Nahisi vyama vingine vyote bado ni vichanga sera zake nyingi ni za kugawa watanzania. Ninawaomba watanzania tubaki na CCM kwa mda wa miaka 20 mpaka vyama vingine vitakapo jitambua vinatakiwa kufanya nini. Sio kuendekeza ubinafsi na umimi.
Ahsanteni