babalao 2
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,398
- 3,243
Hebu tujikumbushe wimbo huu enzi zile tanzania ikiwa na vijiji tajiri na miji yenye viwanda, watz walikuwa wakiimba hivi "chama chetu cha mapinduziie chajengaaa nchiii njerere aa na mwinyi wajenga nchi kawawa aa sokoine wajenga nchiii. Leo vp mbona hawaimbiwi tena wala wana ccm hawaimbi tena labda ndani ya ukumbi chimwaga TATIZO NINI WANACCM NA WANANCHI WOTE TUJADILI HII KITU