Chama cha Walimu (CWT) ni jipu

Chama cha Walimu (CWT) ni jipu

mkumbwa junior

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
840
Reaction score
1,665
chama cha walimu sikielewi naona kinashabikia kufukuzwa walimu wakuu watakao kuwa na wanafunzi hewa! mbona kwenye watumish hewa wakurugenzi na wakuu wa idara tena wanaotumia makomputa maofisini mwao hawakufukuzwa kazi? iweje hawa wadogo tena wanatumia mfumo hafifu wa utunzaji data watishiwe nacho chama kushabikia? kiukweli mimi sioni kazi ya chama cha ualimu tunakatwa pesa ya bure tu!
 
chama cha walimu sikielewi naona kinashabikia kufukuzwa walimu wakuu watakao kuwa na wanafunzi hewa! mbona kwenye watumish hewa wakurugenzi na wakuu wa idara tena wanaotumia makomputa maofisini mwao hawakufukuzwa kazi? iweje hawa wadogo tena wanatumia mfumo hafifu wa utunzaji data watishiwe nacho chama kushabikia? kiukweli mimi sioni kazi ya chama cha ualimu tunakatwa pesa ya bure tu!
walimu sijui ni watu waina gani kiukweli walipaswa kuchukua hatua thidi ya ichi chama wanakatwa pesa zao kila mwezi hela hazijulikani zinafanya kazi gani chama hakitetei maslai ya walimu zaidi ya kuwakandamiza na kuwanyonya wanaonufaika wachache kwakukopesha mamilioni ya hela lakini walimu wamekaa kimya ivi ninani aliye waloga nyie walimu tz?
 
Hamieni kwenye vyama vipya vya kuwatetea... hilo sidabliyuti linawaua
 
Chama kuanzia mwenyekiti hadi kiongozi mdogo ni makada wa CCM mnategemea mabadiliko shame on you Mwalimu shame, shame, shame.
 
Kuna mkono WA Serikali ndio Maana hakifutwi. KAMA TUME YA WALUMU IPO CWT KINA KAZI GANI? KIFUTWE WALIMU WAPUMUE NA 2%
 
Maslahi duni bado makato ya li-cwt, uwalimu kweli wito! acha waisome namba
 
CWT kinatetea maslahi ya washika chaki bana
 
lkn walimu mkumbuke hakuna chombo kingine cha kukutetea ww unapopata tatizo zaid ya cwt. siku ukipata matatizo au kuwa na kesi mahakamani dhidi ya mwajiri wako ndo utautambua umuhimu wa cwt.
 
lkn walimu mkumbuke hakuna chombo kingine cha kukutetea ww unapopata tatizo zaid ya cwt. siku ukipata matatizo au kuwa na kesi mahakamani dhidi ya mwajiri wako ndo utautambua umuhimu wa cwt.
Bila shaka wewe ni muwakilishi wa cwt ktk shule yako
 
hiki chama hatari sana ujue walimu wakuu wanadanganywa pesa za madaraka tena kuna baadhi ya sehemu zimeingizwa kwenye akaunti za shule eti toka mwezi wa saba ila mpaka leo hawajaruhusiwa kuzitoa kisa eti hawajapata maelekezo toka juu na inakuwaje hela ya madaraka ya mwalimu mkuu iingizwa kwenye akaunti ya shule tena mpaka kamati wapitishe tena hawa walimu wakuu wanahangaishwa jamani kila siku wako mijini kupeleka taaarifa za hao wanafunzi hewa kila siku imagine mtu anaetoka bush nauli ya elfu kumi hv mjini mara tatu kwa wiki jamani hiki chama hakina msaada kabisaaaaaa bora kingeondolewa kinakera hatari. kimebaki kusisistiza michango ya mwenge tuuuuu jipu hiliiiii bayaaaaaaaa saaaana
 
lkn walimu mkumbuke hakuna chombo kingine cha kukutetea ww unapopata tatizo zaid ya cwt. siku ukipata matatizo au kuwa na kesi mahakamani dhidi ya mwajiri wako ndo utautambua umuhimu wa cwt.
Kuna mahakama kuna wanasheria nk.cwt ni wanyang'anyi wa pesa zetu.mnatunyonya 2% ya mishahara yetu lakini hamwezi kututeta kwenye mambo ya msingi kama madai yetu na mishahara yetu midogo.
 
Sio Lazma kuwa mwanachama wa hicho chama bhana, ila uvivu wa kufuatilia mambo na uoga ndio sababu kuu zinazosababisha kulia lia kila siku
 
Back
Top Bottom