fergusonema
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 119
- 15
Chama cha mapinduzi,kimetufanyia haya,ambayo kwa hakika yameonekana mazuri machoni mwa wengi ndiyo maana leo wanapambana kukutetea.
1. umetuuwa fikira zetu ,kwa kutupa Elimu tegemezi ambayo kila kukicha watoto wetu wanasoma ili wapate kazi na kuajiliwa na makampuni flani makubwa nchini.Hakuna mtoto anayesoma akiwaza kubuni au kutumia elimu yake kufanya kitu kipya nchini. ASANTE SANA CCM
2.mmekiua kilimo chetu na tumekuwa tegemezi hata kwa chakula,mmetufanya watu wa njaa wakati wote.
3.Mmetufanya tuamini bila misaada hatuwezi kusonga mbele,mkasahau kutegemea kodi kupanga mipango yenu kodi zetu mnatumia kufanya starehe zenu sababu kuna misaada.
matokeo yake huduma zote muhimu ambazo tuliwachagua ili mziendeshe na kutupa ama kutuhuzia kwa bei nafuu,zote mmebinafshisha,ndiyo maana leo rasilimali zetu zote zinachukuliwa kwani hatuna cha kuwalipa hao mnaowakumbatia.
Usalama- wafadhili wanalisaidia
Elimu- wafadhili wanatusaidia
Afya- wafadhili
Miundombinu- wafadhili
Huduma zote hizi zinaudumiwa na wageni,ni kwanamna gani mtatuthamini watanzania?mkaacha kuwathamini wafadhili wanaowapa fedha? Watanzania hatuna faida kwenu,Donors are number one to you.
Ndiyo maana mmeanza kutupiga risasi kama watu tusiokuwa na haki,na hakuna mtu anayeona ametenda kosa.
Ohhhhhhhhhhhhhh my Tanzania.[/QUOTE
si kweli,kuhusu elimu si kweli kua watanzania wanapewa elimu ya kutaka kuajiriwa bali mentality zao ndio tegemezi na ni matatizo yenye historia ndefu mbona tunasoma na watu wa mataifa mengine bt wao wakitoka wanawaza tofauti na wabongo wanawaza mengine.kuhusu donors mbona hata nyinyi mmeomba ujerumani na pesa hizo ndio zinaendesha chama,msitafute vitu vya kipuuzi kuzua mjadala ndo maana wanafalsafa walisema ordinary mind discuss events na hiki ndicho mnachokifanya.kajipange uje na issue critical huu uchu wa kushika dola utawaletea matatizo nyie watu na kaa ukijua u wil never b a first lady na wala kulala ikulu just keeep on dreaming