MarkHilary
JF-Expert Member
- Feb 8, 2015
- 1,763
- 2,029
Hakusaidia chama mkuu! Alifanya biashara na chama. Ni sawa tu na wale wanaopata tenda ya kushona sare za chqma n.k
Acha mhemko, tafakari, andika tena
Acha mhemko, tafakari, andika tena
Du! ajipange apige maombi tu mtalainika.
Duh ....kumbe deni la muda mrefu sana .....ila mlipeni jamani, si mwa ccm mwenzenu?Alimpigia kampeni JK, sio JPM, amfuate JK sasa..
na bado.. kwani aliombwa kupiga kampeni..? si alijipendekeza ili madili yake ya biashara afanikiwe kupitia mgongo wa CCM, mpiga dili huyooo..!!
Kwnn miaka yote asimfuate JK, tokea 2010 aje leo kulia kinafiki..
Chizi huyo.. na bado
Du hiyo tshirt ilikua na TV ?Kuna taarifa kwamba katika hiyo tenda ali-quote Sh 95,000 kwa tisheti moja na Sh 50,000 kwa kofia moja, sasa kama hili ni kweli sijui kama mwenyekiti mpya ataruhusu malipo ya namna hiyo hata kama kuna mkataba!
Kuhusu Eric Shigongo na Kunywa maji mwanangu!
Nakumbuka siku Mh Magufuli anakutana na wafanyabiashara aliuliza kama Je kuna mfanyabiashara yeyote aliyemsaidia kuwa Rais anyooshe mkono! Ukweli hapakuwa na kidole cha mtu sio mfanyabiashara tu, na hapakutokea yeyote aliyejitokeza na kujibu wote walikaa kimya!!
Takribani Miezi kumi imepita sasa amejitokeza mfanyabiashara wa magazeti ndugu Eric Shigongo na malalamiko lukuki yakuwa amedhulumiwa pesa zake nyingi na chama cha mapinduzi (CCM)baada ya kukisaidia kwenye kipindi cha kampeni kwa mkataba angelipwa baada ya uchaguzi kumalizika...................
Badala ya kulipwa akaambiwa kunywa maji mwanangu!
Wenye akili timamu wanajiuliza kwanini siku ile ukumbini alishindwa kunyoosha mkono? ...,.......,........teeehh teeeehhh unafiki na uoga wa wafanyabiashara utatunyima kibali cha kuiona Mbingu!! Kwanini Leo ananyoosha peni badala ya kidole huu sio unafiki huu?? Huu si uoga huu?
I love you..View attachment 438941
Duh ....kumbe deni la muda mrefu sana .....ila mlipeni jamani, si mwa ccm mwenzenu?
Mkuu atalia machozi mbele ya JPM mpaka amuonee huruma ....ila naye alizida na vijarida vyake vya kuponda watu ....inakula kwake sasa......Hapati kitu, sbb unakuta dili alipiga na costs ana triple, ili kukinyonya chama, hatuna wanachama wapiga dili sasa hivi.. si mmemsikia MWENYEKITI WETU, JPM.. wapiga dili hakuna tena.. na bado, huyu lazima anyooke tu..
Mkuu atalia machozi mbele ya JPM mpaka amuonee huruma ....ila naye alizida na vijarida vyake vya kuponda watu ....inakula kwake sasa......
Ilikuwa na ac, ukivaa hata mchana jua la utosini wewe ni full kipupweDu hiyo tshirt ilikua na TV ?
Wewe ndo haujaread btn linesKuhusu Eric Shigongo na Kunywa maji mwanangu!
Nakumbuka siku Mh Magufuli anakutana na wafanyabiashara aliuliza kama Je kuna mfanyabiashara yeyote aliyemsaidia kuwa Rais anyooshe mkono! Ukweli hapakuwa na kidole cha mtu sio mfanyabiashara tu, na hapakutokea yeyote aliyejitokeza na kujibu wote walikaa kimya!!
Takribani Miezi kumi imepita sasa amejitokeza mfanyabiashara wa magazeti ndugu Eric Shigongo na malalamiko lukuki yakuwa amedhulumiwa pesa zake nyingi na chama cha mapinduzi (CCM)baada ya kukisaidia kwenye kipindi cha kampeni kwa mkataba angelipwa baada ya uchaguzi kumalizika...................
Badala ya kulipwa akaambiwa kunywa maji mwanangu!
Wenye akili timamu wanajiuliza kwanini siku ile ukumbini alishindwa kunyoosha mkono? ...,.......,........teeehh teeeehhh unafiki na uoga wa wafanyabiashara utatunyima kibali cha kuiona Mbingu!! Kwanini Leo ananyoosha peni badala ya kidole huu sio unafiki huu?? Huu si uoga huu?