Chama cha Kilaghai Tanzania...

Chama cha Kilaghai Tanzania...

You can reject everything but not the facts!!...

Mimi sio muumini wa chama chochote and after all hili li nchi nishalikimbia kitambo sana. Nafuatilia mwenendo wa hichi chama kinaitwa CHADEMA kama chama kikuu cha upinzani!

Ambacho nimegundua mpaka sasa hivi:

1.kipo kimaslahi zaidi. Hakuna kiongozi mwenye uzalendo pale. Huyo sijui MBAWE ni mfanyabiashara mzuri sana na kawekeza miradi mingi sana kwa majina tofauti kupitia mgongo wa chama.

2.Viongozi wake wachafu sana kimaadili. Mtu ambaye kashindwa kuongoza familia yake hawezi hata kwa matambiko kuingia ikulu. Mtu una miaka 50+ eti bado una mchumba halafu unategemea kuwa raisi!...you are not serious!

3.Siasa uchwara. Chadema ni genge la wahuni tu. Hakuna siasa ya kisayansi pale. Miongozi inakurupuka tu kwenye kutoa maamuzi pasipo kuangalia uhai na mustakabali wa chama. Huwezi kumwondoa mtu muhimu kama kabwe eti kisa ameonyesha nia ya dhati ya kutaka mapinduzi katika chama. You are not serious!!

4.Vurugu ndiyo silaha yao ya msingi. Chama ambacho kinatumia vurugu kushinikiza matakwa yake kimekosa mandate ya kuingia ikulu.

Kama CHADEMA kina nia ya dhati ya kuingia ikulu basi kianze upya. Viongozi uchwara wote watolewe na wapewe nafasi watu wazalendo na wasomi.

Kama msipobadilika basi mjue kabisa hamtakuja kugusa ikulu ya nchi hii. Na kwanza naskia wananchi wameshawa dharau sana. Wanajaa kwenye mikutano yenu lakini wanawapigia kura CCM.

Nawasilisha.

Dr.holygrail rweyemamu

Mailmore,
UK.
 
Mlaghai namba moja ni CCM, na ---- namba moja ni wewe ambaye unataka kusema CCM wako wazi kwa mambo ya uchumi wa nchii hii kuliko CDM, nani ameua nchi kwa miaka 50+??? si ni CCM au hujui???
 
Tanzania vyama vingi ni laghai mfano cuf,chadema na hata tlp. Angalia chadema wanaishia kufanya mikutano mijini tu, halafu wanasema tutachukua nchi 2015. Nchi haichukuliki kwa kufanya mikutano mijini tu. Huu nao ni ulaghai.

Huu ni ushauri ya kwamba waende vijijini pia. Ushauri mzuri
 
Mlaghai namba moja ni CCM, na ---- namba moja ni wewe ambaye unataka kusema CCM wako wazi kwa mambo ya uchumi wa nchii hii kuliko CDM, nani ameua nchi kwa miaka 50+??? si ni CCM au hujui???
viongozi wenu warudi shule kwanza,labda ndo nitafikiria kujiunga na chama chochote
 
Namaanisha probability with time ni Radom process na Spacemen hapo zipo bei ya kunulia bei ya kuuza na bei ya VAT inclusive na time ni muda wakuza bidhaa na muda wa kupeleka return! Ngoja nisikupe PHD proposal bure! Nikuachie Hapo! Kumbuka Q+1/Q=1 sasa usiniulize bei ya bithaa


Sent from my iPhone
acha uongo ulisomea wapi hizo hesabu? Q+1/Q=Q!
 
Anzisha cha kabila lenu kama Zitto au cha dini yenu kama CCM.
 
Hakika anayekishabikia hiki chama hajielewi na atakuwa na lake jambo.Hiki chama kimebakiza vibaka wachache sana walio na viherehere mitandaoni.Sijaona chama kilichojaa ushenzi kama chadema, ukabila uko njenje tu! Ni -------- tu ndio atakereketwa na hiki chama. Kife tu

MATUSI NA MAPOVU YAKO MITHILI YA MGONJWA wa KIFAFA HAYAWEZI KUKIOKOA CHAMA CHAKAVU LAKINI CHA VIONGOZI NA WATOTO WAO CCM ! POLE SANA .
 
Mtu wa kwanza kutoka ulaya alipofika Africa alimwona mtu Mweusi akarudi kwao akasema kuna watu mwenye rangi Nyeusi Mfalme akaamuru auwawe maana amedanganya uma meli zilipovumbuliwa na mashua wakaja zaidi ya mmoja wakatoa jibu lilelile ndipo mfalme akaamini, siku ukijua CDM ni kwa ajili ya mabadili utakuwa umeua wengi sana.
 
Kweli mkuu hiki chama cha ajabu sana kimejaa vituko vitupu hakifai hata kuwepo kwenye hii dunia.
 
Chagadema imejaa ubaguzi wa hali ya juu. Watz tukilaani daima
 
daa,kama kuna watu wanakulipa kwa haya,hauwatendei haki,maana hata propaganda hujui kuzitengeneza. Ni kama umekumbwa na tatizo la kukosa akili timamu vile.Maana hoja si hoja wala kihoja.

Chadema hatuiachi kwa vijineno vya kijinga kama vyako hivi.I subirin ACT-Tanzania ambayo waanzilishi wake mmemudu kuwahonga na wamehongeka
 
nikianzisha cha kabila langu nikawa nafanya ubaguzi wa kishenzi kama chadema itakuwa hatari sana maana chama kile kitatawala milele kwa ukubwa wa kabila langu, shenzi nyie

Kinachokushinda ni nini sasa, au ndo kile cha dini ya ccm? Manake watu wanasema eti kitatawala milele!!
 
Hakika anayekishabikia hiki chama hajielewi na atakuwa na lake jambo.Hiki chama kimebakiza vibaka wachache sana walio na viherehere mitandaoni.Sijaona chama kilichojaa ushenzi kama chadema, ukabila uko njenje tu! Ni -------- tu ndio atakereketwa na hiki chama. Kife tu

Hongera sana kwa kuanza kuelewa elewa, Je unasemaje kwenye sera ya CCM ya kurithishana vyeo vya baba wanapostaafu au kufariki kama Kule Arumeru, Sioi, Kalenga Dogo Godfrey Mgimwa na Chalinze Riziwani, sijui wewe utapewa mfupa gani ndugu yangu, sijui Mzee wako yeye alikuwa na kamfupa gani ambako wewe unaandaliwa. Hukumbuki Mawaziri Mizigo wanatoka wapi na Chama Gani? Umeshasahau Richmond mara hii, EPA, meremeta,Deep Green, Je? Unakumbuka Mikataba ya wizi wa Raslimali za Nchi hii wanaotia saini ni CHADEMA. Je wanaowamaliza Tembo kwenye Hifadhi zetu nao wanatoka CHADEMA. Pumzikia kwenye vita ya madawa ya Kulevya. KAMADNA Jipe dakika chahche tu utafakari na hasa anguko la Elimu nchini, Tusije kuwa tunaongea na wewe ambaye pia ni matokeo ya shule zetu za kata.
 
Kwa matendo yake ya kibabe kufukuzana ukabila ukanda udini chama hiki lazima Kife kioze kwanza ndio kichupue tena wakati kikiwa kimefukiwa aridhini lile ganda la ukabila udini ukanda vurugu na ubabe litaoza na kubakia aridhini kisha utaota mche wa chadema ilio safi .. CHADEMA IKUBALI KUFA RASMI ili ijiufunze siasa kuna haja ya viongozi wa chadema kutafakari kwa kina ili kujipanga upya

NB: KATA TATU CHOPA TATU KIPIGO CHA KALENGA KUJUMLISHA KIPIGO TARAJIWA CHALINZE NI MVUMO TUU HABARI KABIRI MWEZI WA 10 SERIKALI ZA MITAA NA 2015 CHADEMA LAZIMA IFE NA IOZE


SIKU ZOTE KUAMINI NI TENDO LA HIYARI
 
Siyo kurithishana kwa watoto tu ndugu Chikaka Sumuni, pia wake na wachumba zetu kama ilivyo Mushumbusi na wa Dubai ambaye mpaka sasa Ndoa ya Mkuu wangu wa chama iko mashakani kama siyo kubomoka kabisa. Nadhani kwenye swala la kurithishana siyo issue ya kuzungumza Tanzania maana wapo wanoshindana wanashinda na wanaoshindwa kama ilivyoArumeru kama ni kurithishana kusingekua na kushindwa (refer Equitorial Guenea, Uganda, Malawi, Pakistani, India nk) usije ukaniambia George Bush alirithishwa, au Dr. Hussein Mwinyi au Kikwete au Godfrey Mgimwa au Nape la hasha wameshindanishwa na wakashindana sana na ndiyo maana wameshinda kwa mbinde siyo kuwekwa tu.

Jiulize vyama vya upinzani vimeanza lini Tanzania na kama vina umri wa kijana wa kuoa ama la kama Ridhiwani alikua kwenye chama tangu 1990 sijui alitumia nguvu za babaye kuwa kwenye uongozi wa chama ama la. Mi nadhani wazo zuri ni kujadili nani hasa anaihujumu nchi kwa staili uliyoitaja ya deep green, kagoda nk. Na mleta mada anachotaka kusema ni kuwa CHADEMA ni chama kinachotarjiwa kuyakimbia hayo ya uhujumu nchi lakini kiukweli viongozi nia yao ni kupata ulafi na mwisho ni kuturudisha tunakotaka kukimbia.

Tuache kuona tunapambana kichama bali tupambane kifikra mbadala na kila wazo liheshimiwe ila si lazima likubaliwe.
 
Back
Top Bottom