Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert John Chalamila amewataka Wananchi kuwa na Uvumilivu kidogo kwani tayari Serikali iko kwenye hatua za mwisho, za Utatuzi wa Changamoto ya upungufu wa Mabasi yaendayo haraka (Mwendokasi).
Chalamila amesema serikali inatambua changamoto hiyo na tayari imechukua hatua madhubuti kwa kuagiza mabasi zaidi ya 200 ili kuboresha huduma.
Soma
> Chalamila: Mwendokasi Mbagala kuanza wiki ijayo
> Chalamila: Njia ya Kimara yatakuja mabasi 200, ukisema hatuitaki CCM haisaidii
Chalamila amesema serikali inatambua changamoto hiyo na tayari imechukua hatua madhubuti kwa kuagiza mabasi zaidi ya 200 ili kuboresha huduma.
> Chalamila: Mwendokasi Mbagala kuanza wiki ijayo
> Chalamila: Njia ya Kimara yatakuja mabasi 200, ukisema hatuitaki CCM haisaidii