Chalamila amesema watu wa Kagera wanaongoza kwa fitina na majungu kuliko mikoa yote

Leo hii Kagera ni mkoa wenye uchumi duni kuliko mikoa yote. Tukiangalia sababu kubwa ni ......... kuzama kwa meli ya Mv Bukoba

Kuzama kwa MV Bukoba ni moja ya chanzo cha maendeleo duni mkoa wa Kagera???
 
Anaandika Mo Mlimwengu.

Kagera ni mojawapo ya mikoa ambayo inajulikana katika nchi ya Tanzania. Mkoa wa Kagera umekuwa ukijulikana siku zote kwa sifa ya kuwa mkoa wenye mandhari nzuri na hali ya hewa nzuri ambayo ni nzuri kwa shughuli za kilimo na ufugaji. Mbali na hivyo imezungukwa na Ziwa Victoria ambapo shughuli kubwa ya watu wazungukao ziwa ni uvuvi. Mkoa huu umezalisha wasomi wengi ambao almaarufu huitwa nshomire ambao wamesaidia kwa kiasi kikubwa kwenye ujenzi wa taifa letu.

Kagera tumebahatika kupata viongozi wa aina mbalimbali hususani wakuu wa mikoa ambao kila aliyepita hapa alikuwa na aina ya uongozi wake. Ila hivi sasa mkoa huu unaongozwa na Mh Chalamila. Huyu Chalamila amekuja na aina tofauti ya uongozi wake ambao umepelekea watu wengi kushindwa kumuelewa ana shida gani na watu wa Kagera. Kila akipanda jukwaani ni mtu wa kebehi na kejeli kwamba watu wa Kagera wana fitina na majungu, watu wa Kagera ni wavivu na watu ambao hawapendi maendeleo. Tunaamini Mh Rais wetu Samia Suluhu amechagua mtu wa kuja kumsaidia kuijenga Kagera ila siyo kuleta mtu wa kuja kuwasimanga, kuwasema vibaya, na kuwadhalilisha kwa sifa mbaya ambazo anasema hajawahi kuziona katika mkoa wowote.

Chalamila anasema watu wa Kagera wanaongoza kwa fitina na majungu kuliko mikoa yote. Je anaweza kutuambia huo utafiti aliufanya lini na akalinganisha mikoa ipi. Na je alitumia njia gani kwa hiyo tathmini yake?. No research no right to speak .Watu wa Kagera ni wakarimu sana lakini inapotokea kiongozi kutumia kofia yake kudhalilisha kabila na kutupa sifa mbaya hiyo haikubaliki.

Je hizo sifa anazotoa yeye kama Mkuu wa Mkoa ni watu gani watapenda kuja kuwekeza Kagera. Ni mtu gani ambaye atapenda kufanya kazi Kagera kwa sifa ambazo anazinadi kila siku kwenye vyombo vya habari dhidi ya ubaya wa watu wa Kagera?. Rais hajatuletea mtu wa kuja kutuchafua watu wa Kagera bali kaleta mtu wa kuja kusimamia sera ambazo zitainyanyua Kagera.

Kagera hatuna Stendi ya mkoa, Kagera hatuna soko . Chalamila anasema hayo hayapo kwa sababu watu wana majungu na fitina na wanapenda kuongea viingereza. Je kujenga Stendi na soko ni kazi ya wananchi au ndio inabidi serikali ijenge. Tulitegemea yeye kama kiongozi aongoze njia kupata hizo stendi na soko. Lakini anaendelea kutuzomea kwamba hatuna vitu hivyo kwa sababu ya majungu na fitina. Kauli zake zinaonyesha serikali haiko tayari kuwapatia watu wa Kagera stendi na soko kwa sababu wana majungu na fitina.

Leo hii Kagera ni mkoa wenye uchumi duni kuliko mikoa yote. Tukiangalia sababu kubwa ni athari ya vita ya Idd Amin, kuzama kwa meli ya Mv Bukoba, Athari ya ugonjwa wa UKIMWI, soko la kahawa kutoeleweka pamoja na kilimo cha migomba kuingiliwa na ugonjwa wa Mnyauko . Na hayo mambo ni serikali ambayo inatakiwa iangalie namna ya kuweka sura nzuri ambazo zitafufua uchumi wa Kagera. Lakini anakuja Mkuu wa Mkoa ambaye kazi yake ni kuwasema vibaya watu wa Kagera kwa kutusema ni wavivu. Suala la watu wa Kagera kuwa na majungu na fitina pamoja na uvivu umekuwa wimbo wake kabisa. Hii inatuchafulia taswira ya mkoa wetu. Tunaamini kiongozi mzuri ni yule ambaye vitendo vinazidi maneno. Tulitamani kuona initiatives za kupandisha uchumi wa Kagera lakini siyo kutusimanga.

Hivi huo ni uvivu gani ambao anausemea Mkuu wa Mkoa. Je kufa kwa KCU na BCU ni uvivu wa wana Kagera? Je kutokuwa na viwanda vya kutosha ni uvivu wa wananchi wa Kagera. Mshaurini Chalamila aache kejeli na kebehi asimamie sera vizuri ndani ya mkoa wetu tuone kama hatutapata matokeo chanya. Kagera inahitaji usimamizi mzuri wa sera ili kuweza kunyanyuka. Athari zilizopo ni tafsiri ya viongozi kutokuwa wanyambulifu. We reap what we sow( tunavuna tunachokipanda) ukilima chuki utavuna chuki.

Huenda kuna watu wanamsifia kwa kuweza kusema chochote anachojisikia. Yeye kama kiongozi lazima achague maneno ya kusema. Kiukweli kauli zake zimenyongonyesha mioyo yetu, kauli zake zinatudidimiza, kauli zake zinatujengea uhasama na serikali, kauli zake zinatutonesha vidonda vyetu kwa madhira yaliyotupata, kauli zake zina chuki na uhaya wetu na mwisho kauli zake siyo za kiongozi. Baada ya kutatua tatizo yeye anashugulika na uhaya wetu.

Kuna methali moja ya kiingereza inasema hivi " embwa keeba etakahiire mukira teruga mmahiga kwa tafsiri ambayo siyo sisisi ni kwamba anachokitafuta atakipata.
#makeKageraGreatAgain
Wewe na huyo mwenyekiti wako wa ccm hamna akili.
 
Kuna baadhi ya Mambo inahitajika akili kubwa Sana kuyaelewa!

Hivi unafikiri huyo RC hajui kanuni za uongozi!!?

Cha kujiuliza ni kwanini anafanya vile!!?KWA faida ya Nani!!?

Kuna trend Moja nimeiona Hapa NCHINI ile mikoa yenye wajuaji wengi Sana yaani waswahili swahili wajanja wajanja hivi ilisuswa kimaendeleo!cheki TABORA,Kagera,Lindi n.k

Kuna ishu FULANI hivi hazieleweki!

Mungu IBARIKI TANZANIA nchi yetu niipendayo Sana
Wacha vichekesho wewe ndugu yetu.

Hivi Lindi wana ujuwaji gani zaidi ya kucheza bao na majungu?
 
Mpaka kusema yote hayo naona hajasingizia
Sababu ni kuwa inaonekana kuna wanoko wanampelekea majungu na yeye hataki majungu

Kuna watu walamba viatu na yeye hawataki labda
Kama kuna tabia haafikiani nazo lazima aziseme

Hata mimi unafiki sipendi
Tunamjua ni mropokaji ila huenda anachukizwa na watu na maneno yao

Hata wewe jichunguze umeongea sana
Hapo kinachogomba ni akili ndogo kuongoza akili kubwa.

Wahaya waliowengi wamepata elimu yakutosha hivyo Chalamila ana struggle kiuongozi pale kagera
 
Chalamila akiondoa hisia binafsi akawa objective, ni kiongozi mzuri.

Samia kamteua ili akaondoe mambo anayolalamikia, sio akalalamike, Katibu Mkuu CCM alisema viongozi wasilalamike, kama Kuna tatizo Hilo Kagera, basi, kama kiongozi, alitatue
bukoba kuna shida sana hilo liko wazi!!mzozo wa stendi na soko leo ni mwaka wa ngapi?kisa maslahi binafsi ya madiwani?na asilimia 99 wote ni wahaya lakini wana kwamisha miradi!!yeye kama RC anafanyaje kuna mambo atayasukuma lakini kuna mengine atashindwa!!kuna RC alikuwa anaitwa MASAWE alijitahidi sana kupambana hadi akachukiwa!!ilifikia hatua akatoa amri ofisi zote za serikali viwekwe vibao SPEAK SWAHILI!!!kwani ilikuwa ni kihaya tu.Tuwe wakweli ule mkoa una shida ndio maana watu wengi huwa wanakuwa na picha ya kimaendeleo tofauti na wanayoikuta kule wakifika.
 
Ni kweli kabisa alichokisema RC hata wewe kwa andiko lako tu ni mtu wa majungu,,, kila sehemu wanayokaa watu wamkoa huyo kuna Makahaba mfano Mwananyamala kwa wahaya, magomeni Kagera, Kwa wahaya Bunju,,, Bukoba lubumbashi kote hawataki kazi ni kuuza k tu malaya nyie. kafanyeni kazi acheni kusingizia kahawa munategema kutembeza k kwenye madanguro alafu mupate soko la kahawa?

Nyie wanaume wa kagera walaini sana mukishikwa tu ketio unasikia aaaah shiiii jamani

Wahaya ndio mulileta Ukimwi hapa Tanzania wakati dada zenu wanauza k kule Uganda.

Wahaya na viingereza vyenu hata mabaraza yenu ya madiwani hayaisaidii kagera kwa sababu ni majungu tu
 
Anaandika Mo Mlimwengu.

Kagera ni mojawapo ya mikoa ambayo inajulikana katika nchi ya Tanzania. Mkoa wa Kagera umekuwa ukijulikana siku zote kwa sifa ya kuwa mkoa wenye mandhari nzuri na hali ya hewa nzuri ambayo ni nzuri kwa shughuli za kilimo na ufugaji. Mbali na hivyo imezungukwa na Ziwa Victoria ambapo shughuli kubwa ya watu wazungukao ziwa ni uvuvi. Mkoa huu umezalisha wasomi wengi ambao almaarufu huitwa nshomire ambao wamesaidia kwa kiasi kikubwa kwenye ujenzi wa taifa letu.

Kagera tumebahatika kupata viongozi wa aina mbalimbali hususani wakuu wa mikoa ambao kila aliyepita hapa alikuwa na aina ya uongozi wake. Ila hivi sasa mkoa huu unaongozwa na Mh Chalamila. Huyu Chalamila amekuja na aina tofauti ya uongozi wake ambao umepelekea watu wengi kushindwa kumuelewa ana shida gani na watu wa Kagera. Kila akipanda jukwaani ni mtu wa kebehi na kejeli kwamba watu wa Kagera wana fitina na majungu, watu wa Kagera ni wavivu na watu ambao hawapendi maendeleo. Tunaamini Mh Rais wetu Samia Suluhu amechagua mtu wa kuja kumsaidia kuijenga Kagera ila siyo kuleta mtu wa kuja kuwasimanga, kuwasema vibaya, na kuwadhalilisha kwa sifa mbaya ambazo anasema hajawahi kuziona katika mkoa wowote.

Chalamila anasema watu wa Kagera wanaongoza kwa fitina na majungu kuliko mikoa yote. Je anaweza kutuambia huo utafiti aliufanya lini na akalinganisha mikoa ipi. Na je alitumia njia gani kwa hiyo tathmini yake?. No research no right to speak .Watu wa Kagera ni wakarimu sana lakini inapotokea kiongozi kutumia kofia yake kudhalilisha kabila na kutupa sifa mbaya hiyo haikubaliki.

Je hizo sifa anazotoa yeye kama Mkuu wa Mkoa ni watu gani watapenda kuja kuwekeza Kagera. Ni mtu gani ambaye atapenda kufanya kazi Kagera kwa sifa ambazo anazinadi kila siku kwenye vyombo vya habari dhidi ya ubaya wa watu wa Kagera?. Rais hajatuletea mtu wa kuja kutuchafua watu wa Kagera bali kaleta mtu wa kuja kusimamia sera ambazo zitainyanyua Kagera.

Kagera hatuna Stendi ya mkoa, Kagera hatuna soko . Chalamila anasema hayo hayapo kwa sababu watu wana majungu na fitina na wanapenda kuongea viingereza. Je kujenga Stendi na soko ni kazi ya wananchi au ndio inabidi serikali ijenge. Tulitegemea yeye kama kiongozi aongoze njia kupata hizo stendi na soko. Lakini anaendelea kutuzomea kwamba hatuna vitu hivyo kwa sababu ya majungu na fitina. Kauli zake zinaonyesha serikali haiko tayari kuwapatia watu wa Kagera stendi na soko kwa sababu wana majungu na fitina.

Leo hii Kagera ni mkoa wenye uchumi duni kuliko mikoa yote. Tukiangalia sababu kubwa ni athari ya vita ya Idd Amin, kuzama kwa meli ya Mv Bukoba, Athari ya ugonjwa wa UKIMWI, soko la kahawa kutoeleweka pamoja na kilimo cha migomba kuingiliwa na ugonjwa wa Mnyauko . Na hayo mambo ni serikali ambayo inatakiwa iangalie namna ya kuweka sura nzuri ambazo zitafufua uchumi wa Kagera. Lakini anakuja Mkuu wa Mkoa ambaye kazi yake ni kuwasema vibaya watu wa Kagera kwa kutusema ni wavivu. Suala la watu wa Kagera kuwa na majungu na fitina pamoja na uvivu umekuwa wimbo wake kabisa. Hii inatuchafulia taswira ya mkoa wetu. Tunaamini kiongozi mzuri ni yule ambaye vitendo vinazidi maneno. Tulitamani kuona initiatives za kupandisha uchumi wa Kagera lakini siyo kutusimanga.

Hivi huo ni uvivu gani ambao anausemea Mkuu wa Mkoa. Je kufa kwa KCU na BCU ni uvivu wa wana Kagera? Je kutokuwa na viwanda vya kutosha ni uvivu wa wananchi wa Kagera. Mshaurini Chalamila aache kejeli na kebehi asimamie sera vizuri ndani ya mkoa wetu tuone kama hatutapata matokeo chanya. Kagera inahitaji usimamizi mzuri wa sera ili kuweza kunyanyuka. Athari zilizopo ni tafsiri ya viongozi kutokuwa wanyambulifu. We reap what we sow( tunavuna tunachokipanda) ukilima chuki utavuna chuki.

Huenda kuna watu wanamsifia kwa kuweza kusema chochote anachojisikia. Yeye kama kiongozi lazima achague maneno ya kusema. Kiukweli kauli zake zimenyongonyesha mioyo yetu, kauli zake zinatudidimiza, kauli zake zinatujengea uhasama na serikali, kauli zake zinatutonesha vidonda vyetu kwa madhira yaliyotupata, kauli zake zina chuki na uhaya wetu na mwisho kauli zake siyo za kiongozi. Baada ya kutatua tatizo yeye anashugulika na uhaya wetu.

Kuna methali moja ya kiingereza inasema hivi " embwa keeba etakahiire mukira teruga mmahiga kwa tafsiri ambayo siyo sisisi ni kwamba anachokitafuta atakipata.
#makeKageraGreatAgain
Chalamila yupo sahihi, Wahaya ni wabaguzi sana kwa watu wa makabila mengine wanaokuja Kagera eti mnawaita Wanyamahanga, pia mna ujuaji wa kishamba sana. Kwa kweli kwa majungu mko vizuri kupitiliza na ndo maana hakuna mtu wa kabila tofauti na muhaya anapenda kuishi Kagera na hata wana Kagera wengi hawapendi kuishi Kagera kwa sababu ya fitina, majungu, na uzandiki wenu
 
Anaandika Mo Mlimwengu.

Kagera ni mojawapo ya mikoa ambayo inajulikana katika nchi ya Tanzania. Mkoa wa Kagera umekuwa ukijulikana siku zote kwa sifa ya kuwa mkoa wenye mandhari nzuri na hali ya hewa nzuri ambayo ni nzuri kwa shughuli za kilimo na ufugaji. Mbali na hivyo imezungukwa na Ziwa Victoria ambapo shughuli kubwa ya watu wazungukao ziwa ni uvuvi. Mkoa huu umezalisha wasomi wengi ambao almaarufu huitwa nshomire ambao wamesaidia kwa kiasi kikubwa kwenye ujenzi wa taifa letu.

Kagera tumebahatika kupata viongozi wa aina mbalimbali hususani wakuu wa mikoa ambao kila aliyepita hapa alikuwa na aina ya uongozi wake. Ila hivi sasa mkoa huu unaongozwa na Mh Chalamila. Huyu Chalamila amekuja na aina tofauti ya uongozi wake ambao umepelekea watu wengi kushindwa kumuelewa ana shida gani na watu wa Kagera. Kila akipanda jukwaani ni mtu wa kebehi na kejeli kwamba watu wa Kagera wana fitina na majungu, watu wa Kagera ni wavivu na watu ambao hawapendi maendeleo. Tunaamini Mh Rais wetu Samia Suluhu amechagua mtu wa kuja kumsaidia kuijenga Kagera ila siyo kuleta mtu wa kuja kuwasimanga, kuwasema vibaya, na kuwadhalilisha kwa sifa mbaya ambazo anasema hajawahi kuziona katika mkoa wowote.

Chalamila anasema watu wa Kagera wanaongoza kwa fitina na majungu kuliko mikoa yote. Je anaweza kutuambia huo utafiti aliufanya lini na akalinganisha mikoa ipi. Na je alitumia njia gani kwa hiyo tathmini yake?. No research no right to speak .Watu wa Kagera ni wakarimu sana lakini inapotokea kiongozi kutumia kofia yake kudhalilisha kabila na kutupa sifa mbaya hiyo haikubaliki.

Je hizo sifa anazotoa yeye kama Mkuu wa Mkoa ni watu gani watapenda kuja kuwekeza Kagera. Ni mtu gani ambaye atapenda kufanya kazi Kagera kwa sifa ambazo anazinadi kila siku kwenye vyombo vya habari dhidi ya ubaya wa watu wa Kagera?. Rais hajatuletea mtu wa kuja kutuchafua watu wa Kagera bali kaleta mtu wa kuja kusimamia sera ambazo zitainyanyua Kagera.

Kagera hatuna Stendi ya mkoa, Kagera hatuna soko . Chalamila anasema hayo hayapo kwa sababu watu wana majungu na fitina na wanapenda kuongea viingereza. Je kujenga Stendi na soko ni kazi ya wananchi au ndio inabidi serikali ijenge. Tulitegemea yeye kama kiongozi aongoze njia kupata hizo stendi na soko. Lakini anaendelea kutuzomea kwamba hatuna vitu hivyo kwa sababu ya majungu na fitina. Kauli zake zinaonyesha serikali haiko tayari kuwapatia watu wa Kagera stendi na soko kwa sababu wana majungu na fitina.

Leo hii Kagera ni mkoa wenye uchumi duni kuliko mikoa yote. Tukiangalia sababu kubwa ni athari ya vita ya Idd Amin, kuzama kwa meli ya Mv Bukoba, Athari ya ugonjwa wa UKIMWI, soko la kahawa kutoeleweka pamoja na kilimo cha migomba kuingiliwa na ugonjwa wa Mnyauko . Na hayo mambo ni serikali ambayo inatakiwa iangalie namna ya kuweka sura nzuri ambazo zitafufua uchumi wa Kagera. Lakini anakuja Mkuu wa Mkoa ambaye kazi yake ni kuwasema vibaya watu wa Kagera kwa kutusema ni wavivu. Suala la watu wa Kagera kuwa na majungu na fitina pamoja na uvivu umekuwa wimbo wake kabisa. Hii inatuchafulia taswira ya mkoa wetu. Tunaamini kiongozi mzuri ni yule ambaye vitendo vinazidi maneno. Tulitamani kuona initiatives za kupandisha uchumi wa Kagera lakini siyo kutusimanga.

Hivi huo ni uvivu gani ambao anausemea Mkuu wa Mkoa. Je kufa kwa KCU na BCU ni uvivu wa wana Kagera? Je kutokuwa na viwanda vya kutosha ni uvivu wa wananchi wa Kagera. Mshaurini Chalamila aache kejeli na kebehi asimamie sera vizuri ndani ya mkoa wetu tuone kama hatutapata matokeo chanya. Kagera inahitaji usimamizi mzuri wa sera ili kuweza kunyanyuka. Athari zilizopo ni tafsiri ya viongozi kutokuwa wanyambulifu. We reap what we sow( tunavuna tunachokipanda) ukilima chuki utavuna chuki.

Huenda kuna watu wanamsifia kwa kuweza kusema chochote anachojisikia. Yeye kama kiongozi lazima achague maneno ya kusema. Kiukweli kauli zake zimenyongonyesha mioyo yetu, kauli zake zinatudidimiza, kauli zake zinatujengea uhasama na serikali, kauli zake zinatutonesha vidonda vyetu kwa madhira yaliyotupata, kauli zake zina chuki na uhaya wetu na mwisho kauli zake siyo za kiongozi. Baada ya kutatua tatizo yeye anashugulika na uhaya wetu.

Kuna methali moja ya kiingereza inasema hivi " embwa keeba etakahiire mukira teruga mmahiga kwa tafsiri ambayo siyo sisisi ni kwamba anachokitafuta atakipata.
#makeKageraGreatAgain
kwahiyo unamsagia kunguni. Semeni tuwaletee nani safari hii
 
Back
Top Bottom