Chakula Maarufu kwa 'Wapare'-Usipitwe

Chakula Maarufu kwa 'Wapare'-Usipitwe

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
10985356_351349325054940_8544864720539632111_n.jpg
 
Namnani...Twatonga na bajeti!!
Ongeza hapo Ugali na picha ya Samaki kama mboga
 
Mimi nafikiri sio wapare tu bali ni chakula cha asili kwa makabila mengi msiwaonee wapare jamani
 

Hichi chakula (Pure au Kande) mara nyingi upenda kupikwa siku ya ijumaa kinaliwa hadi Jumamosi jioni. Upishi wake lazima uwe na mahindi na maharagwe lakini unaweza kuongeza vingine kama mboga za majani, maboga n.k. Wakati wa kula unaweza kuweka maziwa mtindi au ulaka moja kwa moja. Ukiweka maziwa mtindi hutakiwi kuweka chumvi (mambo ya tamaduni) japo wengine hawajali hilo.
 
Back
Top Bottom