Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,606
Kwa maisha ya Kitanzania hakuna mtu ambaye hajawahi kula chakula cha mtaani /vibanda hodi /uchochoroni au kwa jina maarufu 'Mama Ntilie'.
Bei yake huwa ni ya kawaida sana (pengine robo ya chakula cha hotelini) na huwa kinawekwa kingi sana kwa jina maarufu 'cha kushiba'.
Zifuatazo ni sifa au tabia za chakula cha mama ntilie:-
1. Ujazo wake ni mkubwa sana (cha kushiba)
2. Rosti yake (mchuzi wa nyama/samaki) huwa ni mzito sana unaovutia machoni. Masalu hufanya kazi yake.
3. Bei yake huwa inaanzia TZS 800.000 mpk TZS 1.5000 kwa sahani moja
4. Huwa kinagombaniwa sana
5. Bakuli na sahani huwa ni chache sana na huwazinasuuzwa tu na kuwekea chakula cha mlaji mwingine
6. Wapishi wengi huwa wanene
7. Mazingira huwa machafu sana. Ila chakula kitamu
8. Chakula hiki huisha mapema sana
Nini siri ya utamu wa vyakula ambavyo hupikwa sehemu chafuchafu. Hata Kitimoto nae anahusika!
Bei yake huwa ni ya kawaida sana (pengine robo ya chakula cha hotelini) na huwa kinawekwa kingi sana kwa jina maarufu 'cha kushiba'.
Zifuatazo ni sifa au tabia za chakula cha mama ntilie:-
1. Ujazo wake ni mkubwa sana (cha kushiba)
2. Rosti yake (mchuzi wa nyama/samaki) huwa ni mzito sana unaovutia machoni. Masalu hufanya kazi yake.
3. Bei yake huwa inaanzia TZS 800.000 mpk TZS 1.5000 kwa sahani moja
4. Huwa kinagombaniwa sana
5. Bakuli na sahani huwa ni chache sana na huwazinasuuzwa tu na kuwekea chakula cha mlaji mwingine
6. Wapishi wengi huwa wanene
7. Mazingira huwa machafu sana. Ila chakula kitamu
8. Chakula hiki huisha mapema sana
Nini siri ya utamu wa vyakula ambavyo hupikwa sehemu chafuchafu. Hata Kitimoto nae anahusika!
