hhahàaaWengine (nasikia )wanapika uchi wa mnyama..ingawa huwezi kuona..wengine wanatumia maji yaliyochambiwa kwenye "k" zao..
Aksante sitokaa nile tea kwa mamantilie kuna siri mnahifadhi za chakula hebu funguka tujue ubwabwa tumezoea hamira mchuzi je?Oh,.basiiiij sitoi siri![]()
Umekulia ushuani mkuu huku kwetu kawaida hatuangalii hayo mkuuMimi sijawahi kula kwa mama ntilie kwani Nina kinyaa sana, wakitoka chooni hawanawi wanaendelea tu kupika mikono imebeba kinyesi halafu utakuta anashika nyanya anakatakata, ndiyo maana mnasema mchuzi ni mzito halafu mtamu kumbe mnakula mavi, wakati mwingine wanashika tambala la kudekia kula wakati bila kunawa mikono kwa maji na sabuni wanaendelea kushika vyakula, wengine mbaya zaidi wana watoto wachanga kutwa wakiwatawaza watoto mavi halafu hawanawi mikono yao kwa maji yanayotitirika na sabuni
Wain roone na wenzake walikula kwa mamantilie na wakasifia vile vile kuwa vitamuMtu alieshikwa tumbo la kuhara akiwa stendi ya mabasi huwa anasifia sana jinsi choo cha stendi kilivyomsitili.... uwezo wetu wa kujikuna umeishia hapo, hatuna jinsi ya kuviona vitamu regardless vinaandaliwa na nani au katika mazingira yapi.
Assessment yako ni nzuri mkuu, ila hizo bei mbona hazieleweki.T.Sh.800.000 mpaka 1.5000! Nadhani labda ni T.Sh.800 mpaka 1,500!Kwa maisha ya Kitanzania hakuna mtu ambaye hajawahi kula chakula cha mtaani /vibanda hodi /uchochoroni au kwa jina maarufu 'Mama Ntilie'.
Bei yake huwa ni ya kawaida sana (pengine robo ya chakula cha hotelini) na huwa kinawekwa kingi sana kwa jina maarufu 'cha kushiba'.
Zifuatazo ni sifa au tabia za chakula cha mama ntilie:-
1. Ujazo wake ni mkubwa sana (cha kushiba)
2. Rosti yake (mchuzi wa nyama/samaki) huwa ni mzito sana unaovutia machoni. Masalu hufanya kazi yake.
3. Bei yake huwa inaanzia TZS 800.000 mpk TZS 1.5000 kwa sahani moja
4. Huwa kinagombaniwa sana
5. Bakuli na sahani huwa ni chache sana na huwazinasuuzwa tu na kuwekea chakula cha mlaji mwingine
6. Wapishi wengi huwa wanene
7. Mazingira huwa machafu sana. Ila chakula kitamu
8. Chakula hiki huisha mapema sana
Nini siri ya utamu wa vyakula ambavyo hupikwa sehemu chafuchafu. Hata Kitimoto nae anahusika!
Mkuu wala si kitu kibaya saaana,.ww kula kama huna budi Ila kama unauwezo wa kujipikia mwenyewe si vibaya.Aksante sitokaa nile tea kwa mamantilie kuna siri mnahifadhi za chakula hebu funguka tujue ubwabwa tumezoea hamira mchuzi je?
Kama inafaa ninon'goneze huku pm vinginevyo umeniogopesha nikijua nitakuwa huru kula hata kama wanapikia maji ya mochwariMkuu wala si kitu kibaya saaana,.ww kula kama huna budi Ila kama unauwezo wa kujipikia mwenyewe si vibaya.
Mkuu kuna aina ya bacteria wagumu sana kufa kwa kuchemsha labda kuukaanga kwa mafutaSi vinapikwa na kuchemsha mkuu?