series nzuri sana hii kuiangalia ila ina muda mrefu mpaka episode ya 700 na bado inaendelea.....haijaisha tu mtoa mada![]()
Hii series ya Udaan sapnoki ulishawahi kuiangalia, na ulielewaje jinsi alivokuwa anaigiza mtoto Chakor.??????!
Duuh pole sana Mparee...namnani ahoHii series nimeangalia mpaka episode ya 100 hivi nikaona inanifanya silali usiku...