Chaja ya samsung galaxy tab inahitajika.

Chaja ya samsung galaxy tab inahitajika.

DAWA YA SIKIO

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2011
Posts
978
Reaction score
184
Habari wakuu ! Nahitaji kununua chaja ya samsung tablet p1000. Naomba kujua wapi nitapata kirahisi kwa Dodoma au Morogoro. Makazi yangu ni Dodoma.
 
Zipo Dar maduka ya simu esp Samsung, original Tzs 35,000 at a display price, vinginevyo ni jinsi unavyo bargain na muuzaji. Mimi bahati nzuri ninazo mbili sababu nasafiri sana kikazi hivyo naacha moja home na ingine nasafiri nayo in case ikipotea safarini nakuwa na backup.

Kawaida hii charger inakuwa na USB cable pamoja na charging machine, usiuziwe charger ambayo haiko ktk mfumo huo itakuwa ni feki hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom