Chai ya nazi

chapati mbili na chai

Senior Member
Joined
Jun 1, 2026
Posts
100
Reaction score
190
Samahanj naomba kuuliza haiwezekani kupika chai ya nazi, yaani unachuja tui lako vizuri, unachemsha unatia tangawizi au viungo vingine vya chai.
Hili pishi likoje Kwa wale ambao mmewahi kujaribu
 
Nafikiri ile harufu yake ndio changamoto
 
Njoo Mafia huku Kuna Hadi togwa za nazi
 
Samahanj naomba kuuliza haiwezekani kupika chai ya nazi, yaani unachuja tui lako vizuri, unachemsha unatia tangawizi au viungo vingine vya chai.
Hili pishi likoje Kwa wale ambao mmewahi kujaribu
Yaelekea unapenda sana misosi weye maana hata jina lako hapo๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜œ
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ