CAMARADERIE JF-Expert Member Joined Mar 3, 2011 Posts 4,419 Reaction score 1,929 Sep 29, 2011 #1 Hii kitu ilisumbua sana enzi zake
bombu JF-Expert Member Joined Jun 8, 2011 Posts 1,127 Reaction score 544 Sep 29, 2011 #2 sure, halafu ilikuwa watu mnakaa kwa kutazamana. Ila kwenye mabonde sasa, tehe
NYENJENKURU JF-Expert Member Joined Feb 11, 2011 Posts 1,067 Reaction score 299 Sep 29, 2011 #3 CAMARADERIE said: Hii kitu ilisumbua sana enzi zake Click to expand... Dah..Umenikumbusha mbali sana miaka ya 1990 hivi nilikuwa naipanda kutoka Makonde mpaka Mwenge we unafika vumbi kibao..lolll mmm tumetoka mbali.
CAMARADERIE said: Hii kitu ilisumbua sana enzi zake Click to expand... Dah..Umenikumbusha mbali sana miaka ya 1990 hivi nilikuwa naipanda kutoka Makonde mpaka Mwenge we unafika vumbi kibao..lolll mmm tumetoka mbali.
Domhome JF-Expert Member Joined Jun 28, 2010 Posts 3,198 Reaction score 3,973 Sep 29, 2011 #4 Zanzibari bado zipo kibao, abiria mwaenda huku mwatizamana atii!
Domhome JF-Expert Member Joined Jun 28, 2010 Posts 3,198 Reaction score 3,973 Sep 29, 2011 #5 <SPAN style="FONT-FAMILY: garamond"><FONT size=4>Zanzibari bado zipo kibao, abiria mwaenda huku mwatizamana atii!</FONT></SPAN>
<SPAN style="FONT-FAMILY: garamond"><FONT size=4>Zanzibari bado zipo kibao, abiria mwaenda huku mwatizamana atii!</FONT></SPAN>
J joxin Member Joined Aug 25, 2011 Posts 25 Reaction score 2 Sep 29, 2011 #6 Mnavotizamana Kama una aibu ndo balaa
CAMARADERIE JF-Expert Member Joined Mar 3, 2011 Posts 4,419 Reaction score 1,929 Sep 29, 2011 Thread starter #7 Wale wa kusimama ilikuw ni balaa zaidi......watu walikuwa wanapata mifadhaiko sana
CAMARADERIE JF-Expert Member Joined Mar 3, 2011 Posts 4,419 Reaction score 1,929 Sep 29, 2011 Thread starter #8 Wale wa kusimama ilikuw ni balaa zaidi......watu walikuwa wanapata mifadhaiko sana