Moja ya tatizo kubwa kwenye chaguzi za Zanzibar ni Wabara kuingizwa na CCM katika kupiga kura za kuchagua Rais wa Zanzibar pamoja na wawakilishi katika baraza la wawakilishi.
Hili ni kinyume na taratibu kwani Wabara wanaoishi Zanzibar wanatakiwa wapige kura ya kuchagua Mbunge pamoja kumchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano tu. Kwa hiyo huwa hahusiki moja kwa moja na ZEC.
Lakini CCM toka mwaka 1995 wamekuwa wakiwatumia wabara kwenye upigaji wakura. Na hili limechangia kwa asilimia kubwa kuzidisha chuki baina ya Wazanzibari na Wabara.
Asilimia kubwa ya Wabara wanaoishi Zanzibar husapoti chama cha CCM wengi wakijazwa kasumba nyingi chafu ili waendelee kuamini kuwa CCM ndio usalama wao.
Hivi miezi ya karibuni kumekuwa na zoezi la kuwapatia Wabara waliohamia Zanzibar miaka ya karibuni vitambulisho vya Zanzibar ili waweze kuwaandikisha kwa ajili ya upigaji kura za mwakani.
Hili jambo ni hatari sana, linaendelea kuwaumiza nakuwatia hasira sana Wazanzibari.
Ndugu zangu wa bara mnaoishi Zanzibar kwanini hamtulii mkafanya mlioyaendea ya kama kutafuta hela ustick na ishu zako tu kwanini huwa mnajiingiza kwenye siasa za watu?
Hamuhisi kama mnajitafutia matatizo na kuwatafutia wenzenu ambao hawana hayo mambo?
Tusije kushangaa siku za mbele tu yakaanza kutokea kama yale yaliotokea Afrika Kusini. Tusije kutafuta mchawi ni nani.
Ninavyoamini mimi kama CCM hawayajaacha madaraka kule Zanzibar ipo siku kitunaka kule ndipo tutakapotafutana.
Hili ni kinyume na taratibu kwani Wabara wanaoishi Zanzibar wanatakiwa wapige kura ya kuchagua Mbunge pamoja kumchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano tu. Kwa hiyo huwa hahusiki moja kwa moja na ZEC.
Lakini CCM toka mwaka 1995 wamekuwa wakiwatumia wabara kwenye upigaji wakura. Na hili limechangia kwa asilimia kubwa kuzidisha chuki baina ya Wazanzibari na Wabara.
Asilimia kubwa ya Wabara wanaoishi Zanzibar husapoti chama cha CCM wengi wakijazwa kasumba nyingi chafu ili waendelee kuamini kuwa CCM ndio usalama wao.
Hivi miezi ya karibuni kumekuwa na zoezi la kuwapatia Wabara waliohamia Zanzibar miaka ya karibuni vitambulisho vya Zanzibar ili waweze kuwaandikisha kwa ajili ya upigaji kura za mwakani.
Hili jambo ni hatari sana, linaendelea kuwaumiza nakuwatia hasira sana Wazanzibari.
Ndugu zangu wa bara mnaoishi Zanzibar kwanini hamtulii mkafanya mlioyaendea ya kama kutafuta hela ustick na ishu zako tu kwanini huwa mnajiingiza kwenye siasa za watu?
Hamuhisi kama mnajitafutia matatizo na kuwatafutia wenzenu ambao hawana hayo mambo?
Tusije kushangaa siku za mbele tu yakaanza kutokea kama yale yaliotokea Afrika Kusini. Tusije kutafuta mchawi ni nani.
Ninavyoamini mimi kama CCM hawayajaacha madaraka kule Zanzibar ipo siku kitunaka kule ndipo tutakapotafutana.