Chaguzi za awamu ya tano zinawadia

Chaguzi za awamu ya tano zinawadia

THE WISE MaN

Member
Joined
Sep 22, 2014
Posts
11
Reaction score
0
Tukimalizia uongozi wa awamu ya nne,ambao umeambatana na changamoto kemkem,huu ni wakati muafaka kulinda chombo kisizame,vinginevyo tunaweza kuishi maisha magumu,yatakayoambatana na kudumaa kwa uchumi na hali ya wananchi kisiasa,kijami na kiutamaduni. Tujipange sasa. Suala la nani awe kiongozi wa mtaa, wilaya, mkoa hadi taifa zima ni langu na wewe. Tushirikiane jamani.
 
Back
Top Bottom