Chaguo la ccm- speaker mtarajiwa

sikukuu

Member
Mar 31, 2009
18
0
AnnaMakinda.jpg


Bi. Anna Makinda.
Bi. Anna Makinda (Pichani) amechaguliwa na Wajumbe wa Chama Cha Mapinduzi kwa kura 211 kwa ajili ya kuwania Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Waliobwagwa katika kinyang'anyiro hicho cha akina mama watatu walioteuliwa na Kamati Kuu ya CCM hapo jana kuwania kiti hicho ni Bi. Kate Kamba aliyepata kura 15, Bi. Anna Abdalah aliyepata kura 14.kwa maana hiyo Mheshimiwa Anna Makinda (CCM) atapambana na Mabere Marando wa (CHADEMA) ili kumpata Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Tags: anna, ccm, makinda, mgombea, ndiye, uspika
Share Twitter Facebook
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom