Chaguo la CCM ni Sumaye

Chaguo la CCM ni Sumaye

Joshua Hagai

Senior Member
Joined
Jul 8, 2015
Posts
111
Reaction score
20
Jana DR JAKAYA MRISHO KIKWETE alionyesha dhahiri kuwa atakaye peperusha bendera ya CCM urais katika uchaguzi mkuu Oct ni Mh Sumaye.

Spika Anne Makinda alipokuwa akiwatambulisha wageni Mh Sumaye alimpungia mkono kwa furaha ya ajabu kwa tabasamu zito.

Naona Mr Lowassa hata hamuwazi.

Mh Sumaye chaguo la CCM.

Tumaini jipya UKAWA.
 
Ha ha ha huyo kiumbe hata hauziki

Hapo ni Magufuli,Jaji Rama,Makongoro na Lowasa.....mmoja wapo ndio yeye
 
Hebu teueni mgombea na sisi tujipange
 
Jana DR JAKAYA MRISHO KIKWETE alionyesha dhahiri kuwa atakaye peperusha bendera ya CCM urais katika uchaguzi mkuu oct ni Mh Sumaye.
Spika Anne Makinda alipokuwa akiwatambulisha wageni wakiwemo mawaziri mkuu wastaafu alipolitaja tu jina la MH SUMAYE,Mh Jakaya alikuwa amepozi kwa nne alipolisikia jina la MH SUMAYE alimpungia mkono kwa furaha ya ajabu kwa tabasamu zito.
Naona MR LOWASA hata hamuwazi.
MH SUMAYE chaguo la CCM.
TUMAINI JIPYA UKAWA.

Hata mm nimeona hiyo. Halafu huyo ni chaguo la Mkapa tangu 2005. Msione Sumaye amekaa kimya uko kitu! Hiyo mitandao inataka kusambaratishwa ili chama kirudi kwenye maadili. Simba kwenda pole ndiye mla nyama!
 
Hata mm nimeona hiyo. Halafu huyo ni chaguo la Mkapa tangu 2005. Msione Sumaye amekaa kimya uko kitu! Hiyo mitandao inataka kusambaratishwa ili chama kirudi kwenye maadili. Simba kwenda pole ndiye mla nyama!

Hawalioni hilo wamebaki wanamshabikia lowasa.
 
Ha ha ha huyo kiumbe hata hauziki

Hapo ni Magufuli,Jaji Rama,Makongoro na Lowasa.....mmoja wapo ndio yeye

Hata rais mstaafu Mkapa alikuwa hauziki na hakujulikana wala kushabikiwa lkn akawa rais mzuri na mchapakazi. Kumbukeni huyo Sumaye ndiye alikuwa mtendaji mkuu. Ili kurududisha heshima ya ikulu mgombea yeyote anayeshabikiwa hafai. Isitoshe CCM inao mfumo na mikakati na mitandao ya kumuuza mgombea yeyote msafi.
 
Ha ha ha huyo kiumbe hata hauziki

Hapo ni Magufuli,Jaji Rama,Makongoro na Lowasa.....mmoja wapo ndio yeye

Mwaka huu tunayo kazi kubwa. Tunaweza kujikuta raisi wetu ni Bob Rama, Braza Edo au Pombe!
 
Tutasikia mengi mpaka jumapili.mamvi jana alikuwa anavuta picha kama yeye alikuwa anahutubia bunge 2016
 
Back
Top Bottom